14 killed, 50 injured as militants toss grenades and spray bullets in a Garissa church!

Wewe naona una kasoro na pengine unaishi ugaibuni. Wakati makundi ya kigaidi zinajipanga na kuuunda majeshi kama tulivyo shuhudia pwani ya kenya/Mulungunipa na vikojozi vingine kama hawa, unatarajia GK isalie kwenya blanketi wakilala usingizi mwororo. kuna duru kuwa hawa wantafuta misitu ya kuaanza kutekeleza unyama dhidi ya raia. Wakati mwingine tutenge siasa mbali ikija kwa suala la ugaidi. Na tazama ninakuhakikishia majeshi hayataondoka Somalia, bali mashambulizi moto moto yataendelea itakayofanya AS warudi kufanya shughuli zao za uchungaji ngombe. Sioni haja ya kuinamia ukoloni mambo leo huku vikosi vya kigaidi vikimarika kila kuchao kwa sababu tu eti mwafrika hawezi.
Jaribu kulinganisha idadi ya mashambulizi ambayo Kenya imeyapata kutoka kwa hao magaidi kabla ya kupeleka jeshi Somalia na baada ya kupeleka? Sidhani kama Alshabab walikuwa wana tatizo na Kenya kabla ya kuamua kupeleka jeshi. Lakini kitendo cha nyie kuamua kupeleka jeshi kule ndiyo hicho kinachowafanya mnauawa hivi sasa. Anyway, whether mtalitoa jeshi lenu kule au hamtalitoa mtajua wenyewe, maana na rate ya kufanyiwa mashambulizi ya kushitukiza ndiyo inaongezeka kadri mnavyoliacha jeshi kule. Hata hivyo kwa sasa ni too late, kama ni maji tayari mshayavulia nguo, komaeni tu hadi kieleweke.
 
Jaribu kulinganisha idadi ya mashambulizi ambayo Kenya imeyapata kutoka kwa hao magaidi kabla ya kupeleka jeshi Somalia na baada ya kupeleka? Sidhani kama Alshabab walikuwa wana tatizo na Kenya kabla ya kuamua kupeleka jeshi. Lakini kitendo cha nyie kuamua kupeleka jeshi kule ndiyo hicho kinachowafanya mnauawa hivi sasa. Anyway, whether mtalitoa jeshi lenu kule au hamtalitoa mtajua wenyewe, maana na rate ya kufanyiwa mashambulizi ya kushitukiza ndiyo inaongezeka kadri mnavyoliacha jeshi kule. Hata hivyo kwa sasa ni too late, kama ni maji tayari mshayavulia nguo, komaeni tu hadi kieleweke.

hiyo si hoja mradi tutalinda usalama na kuharibu mizizi za ugaidi ndio jambo la muhimu. Kenya itasalia kuwa Kenya na mataifa mengine AM yatazidi kuonyesha udhaifu kwa serikali za kimataifa kuwa hawana uwezo wa kukabiliana vikali na ugaidi hivo kuendeleza tabia ya kuitisha misaada ya kijeshi na upuzi mwingine zinazoambatana na uombaji.
 
Peleka ujinga wako huko kwenu! Usifikirie hii ni bforum ya kasumba na umbumbumbu hapa! Henu tuambie kwa vielelezo ameongea uongo upi juu ya Kenya?

Geza, nadhani ulikusudia kumjibu Nairoberry?
 
hiyo si hoja mradi tutalinda usalama na kuharibu mizizi za ugaidi ndio jambo la muhimu. Kenya itasalia kuwa Kenya na mataifa mengine AM yatazidi kuonyesha udhaifu kwa serikali za kimataifa kuwa hawana uwezo wa kukabiliana vikali na ugaidi hivo kuendeleza tabia ya kuitisha misaada ya kijeshi na upuzi mwingine zinazoambatana na uombaji.
Unakumbuka Kibaki alisema nini mwaka jana wakati anapeleka jeshi Somalia? Hivi mwaka haujaisha tangu jeshi lenu limeenda kule? Mbona vita haiishi sasa? Si mlisema mwaka hautaisha kabla hamjawakamata na kuwaua Alshabab wote? Sasa anayewaua leo ni nani? Nyie mtaweza kung'oa mizizi ya ughaidi iliyowashinda Marekani, Ethiopia na UN? Yetu macho!
 
Unakumbuka Kibaki alisema nini mwaka jana wakati anapeleka jeshi Somalia? Hivi mwaka haujaisha tangu jeshi lenu limeenda kule? Mbona vita haiishi sasa? Si mlisema mwaka hautaisha kabla hamjawakamata na kuwaua Alshabab wote? Sasa anayewaua leo ni nani? Nyie mtaweza kung'oa mizizi ya ughaidi iliyowashinda Marekani, Ethiopia na UN? Yetu macho!

you are a waste of time, sorry for that.... KDF is both fighting and installing an administration in Somalia, otherwise Kenya would have gone the Ethiopian way and blitz everything on its way to Kismayu and back to base. So far alshabaab has lost her administrative tentacle. SNA/TFG is for the first time taking charge of events in somalia under stewardship of KDF.
 
Unakumbuka Kibaki alisema nini mwaka jana wakati anapeleka jeshi Somalia? Hivi mwaka haujaisha tangu jeshi lenu limeenda kule? Mbona vita haiishi sasa? Si mlisema mwaka hautaisha kabla hamjawakamata na kuwaua Alshabab wote? Sasa anayewaua leo ni nani? Nyie mtaweza kung'oa mizizi ya ughaidi iliyowashinda Marekani, Ethiopia na UN? Yetu macho!

kampeini dhidi ya alshabaab itaongezeka na hatushiriki unafiki kamwe ya marekani na Ethiopia. Kiini cha vita hivi siyo ubabe lakina ni kumaliza hatima ya AS pole pole hata kama itachukua technicalities lazima mradi huu ukamilike ilivyopangwa.
 
you are a waste of time, sorry for that.... KDF is both fighting and installing an administration in Somalia, otherwise Kenya would have gone the Ethiopian way and blitz everything on its way to Kismayu and back to base. So far alshabaab has lost her administrative tentacle. SNA/TFG is for the first time taking charge of events in somalia under stewardship of KDF.

Ahah Thanx mate for swiftly intervening. what is eventually meant to resonate from such discredit en-masse of the KDF incursion and pacification of southern Somalia is absolute ineptness of the Kenyan forces. That is what the western media would like to hear and capitalize on by extending their grip and surbotage on affairs african.
 
Ahah Thanx mate for swiftly intervening. what is eventually meant to resonate from such discredit en-masse of the KDF incursion and pacification of southern Somalia is absolute ineptness of the Kenyan forces. That is what the western media would like to hear and capitalize on by extending their grip and surbotage on affairs african.

C.A.S anytime mate; too much unwarranted shelling was coming your way. The western media will ever be western despite the progress made by KDF. KDF has domesticated this operation, with swift orders with regards to alshabaab, it's a hit and hit again campaign till alshabaab cant hit no more. Missing hype because of ''Azania'' maneno is that the liberated towns have their own administrators who are working closely with KDF, Ethiopia has seen what the success story means and she feels intimidated. She also wants some form of authority in Kismayu, and has forthwith requested to be allowed in. KDF still not settled, combined KDF/ENDF will be a shooting spree.
In other news, Ranger Strike Force are behind the rescue of the four foreign captives. TFG elements in the mix too but with limited action.
 
In other news, Ranger Strike Force are behind the rescue of the four foreign captives. TFG elements in the mix too but with limited action.

They just keep coming and get hotter and hotter. I read about that division on the EA...mambo bad kabisa!!
 
you are a waste of time, sorry for that.... KDF is both fighting and installing an administration in Somalia, otherwise Kenya would have gone the Ethiopian way and blitz everything on its way to Kismayu and back to base. So far alshabaab has lost her administrative tentacle. SNA/TFG is for the first time taking charge of events in somalia under stewardship of KDF.
Hata hivyo hujajibu swali, kama Alshabab ndo wanaisha mbona mnaendelea kuchapwa? Kabaridi anasema mtaendelea kuwachapa taratibu, lakini hadi hiyo vita ije iishe a lot of innocent souls zitakuwa zimeshapotea Kenya. The idea to install a new leadership in Somalia is not bad, but for whose interests? Surprisingly you dont want to agree that the ongoing war which is claiming a lot of innocent Kenyan lives is fought for the interest of America. Do you know who is funding this war? Eti mnajifanya hampo tayari kutumiwa na wamarekani na Ethiopia na huku mnapigana vita ili kuwafurahisha hao wamarekani.
 
Last edited by a moderator:
The sad thing is that people here think the Kenyan army went to Somalia for bragging rights and that Alshabaab is a Kenyan problem.
 
Geza, nadhani ulikusudia kumjibu Nairoberry?

yes pole kaka kuna watu wanaudhi humu ndani we achaa hawajui dhana nzima ya uhuru wa kujadili mambo wala dhana nzima la kuhusu uhuru wa kujua mambo!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
ha ha ha ha... unaongea kama ccm! Subiri atoke huko aliko ndio utajua nani fundi na nani kibarua?

sometimes you behave like his girlfriend. stop being a sissy and yes CCM itatawala milele
 
Hata hivyo hujajibu swali, kama Alshabab ndo wanaisha mbona mnaendelea kuchapwa? Kabaridi anasema mtaendelea kuwachapa taratibu, lakini hadi hiyo vita ije iishe a lot of innocent souls zitakuwa zimeshapotea Kenya. The idea to install a new leadership in Somalia is not bad, but for whose interests? Surprisingly you dont want to agree that the ongoing war which is claiming a lot of innocent Kenyan lives is fought for the interest of America. Do you know who is funding this war? Eti mnajifanya hampo tayari kutumiwa na wamarekani na Ethiopia na huku mnapigana vita ili kuwafurahisha hao wamarekani.

Nataka nikfahamishe Lukolo kuwa Marekani hawashindwi kumaliza ugaidi. Kenya ni hatari upende usipende. Ukiona AS wameingina na kutumia crude forms of attacks kama maguruneti, inamaanisha uwezo wao wa kufanya mashambulizi yenye madhara kubwa ni mdogo. Hii ndio tunaita desperate tactics. Kama nilivoelezea hapo awali Hatima yao baada ya muda itakuwa haipo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom