Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,962
Watu wasingeenda kupoteza muda kununua treasury bonds ya miaka 15-20Zipo
Watu wasingeenda kupoteza muda kununua treasury bonds ya miaka 15-20Zipo
Sio rahisi kujua maana zinaendana na hali ya soko na uchumi, ila kwa mwaka huu imekuwa ikitoa kama 1.15 pc kwa mwezi, ukipiga hesabu inaweza kufika around 14pcKwa mwaka huu rate zikoje??
Zipo mkuu... kuna mtu amekula 14pc, ila sio bank kubwa roho mkononi, ni bank ndogo zenye shida ya liquidity na zenyewe zinagonga watu 24pc.Watu wasingeenda kupoteza muda kununua treasury bonds ya miaka 15-20
Haya sasa ndio madini.Nimegundua wabongo wengi Financial Literacy ni Zero. Peleka hiyo pesa UTT weka kwenye ule mpango wa Gawio la kila mwezi. Kwa hela hiyohiyo itakupa mkopo mwingine wa fedha isiyopungua 20m sasa hizo 20m ndio zungusha mtaani, mkopo wako utalipwa na Gawio la kila mwezi la uTT! Hii 20 ya mkopo hata kama utanuwea pombe ile 45 yako ya UTT italipa na deni likiisha unabakiwa na 45 yako. Hii ni elimu ndogo sana ya uwekezaji niliyokupa ila kama upo tayari kwa ushauri zaidi wa bure tu nicheki PM.
45m ukituliza kichwa ni pesa inayokutoa,.
Labda bank walidhani kijana anataka KUKOPA 45M😀Hakuna bank yenye rate 13%, uliza tena vizuri
Lete iyo hela tuandikishane nikukabidhi hati ya nyumba. Halafu niwe nakupa 20% kwa mwaka. Nikishindwa unabeba nyumba hauna Cha kupoteza.
Hili wazo konki Sana mkuu. Njoo nikuuzieWhy usiuze nyumba yako kisha ukazungusha hela then ukainunua tena ama ukajenga nyingine nzuri kuliko hiyo
Kwann usikopee nyumbaLete iyo hela tuandikishane nikukabidhi hati ya nyumba. Halafu niwe nakupa 20% kwa mwaka. Nikishindwa unabeba nyumba hauna Cha kupoteza.
wakulungwa hili swali likijibiwa mnitagBank gani hio inatoa 13% ?
Kwann usikopee nyumba
Kuwa makini na hiyo bank. Bank kubwa hazitoi hiyo interest. Labda unstable bank zinazoweza ku collapse.Wadau..katika kupambana na 45 Million sasakunabenk imeniahidi kuwa nawezaweka fixed kwa 13%kwa annum.Sasa najiuliza sijui niweke huku au UTT ambapo naambiwa ni pazuri ingawa sijapata ushahidi wa njisi palikopazuri kwa hali ya sasa.Je kwa wale mliowekeza UTT..na kwa kulinganisha na hii fixed wapi unanishauri kawa mazingira ya sasa
wewe mtoa ushauri unazo hizo 45m ngapi ..au ndo nawewe unamuita huko Pm ukamvune hio pesa kwa jina la consultancy fee .?Nimegundua wabongo wengi Financial Literacy ni Zero. Peleka hiyo pesa UTT weka kwenye ule mpango wa Gawio la kila mwezi. Kwa hela hiyohiyo itakupa mkopo mwingine wa fedha isiyopungua 20m sasa hizo 20m ndio zungusha mtaani, mkopo wako utalipwa na Gawio la kila mwezi la uTT! Hii 20 ya mkopo hata kama utanuwea pombe ile 45 yako ya UTT italipa na deni likiisha unabakiwa na 45 yako. Hii ni elimu ndogo sana ya uwekezaji niliyokupa ila kama upo tayari kwa ushauri zaidi wa bure tu nicheki PM.
45m ukituliza kichwa ni pesa inayokutoa,.
Sorry mdau akikujibu naomba unitagi pleaseBank gani hio inatoa 13% ?
hiyo UTT kwa mwezi pesa hii 45ml inaweza kuwa inatoa shingapi ya gawio???Nimegundua wabongo wengi Financial Literacy ni Zero. Peleka hiyo pesa UTT weka kwenye ule mpango wa Gawio la kila mwezi. Kwa hela hiyohiyo itakupa mkopo mwingine wa fedha isiyopungua 20m sasa hizo 20m ndio zungusha mtaani, mkopo wako utalipwa na Gawio la kila mwezi la uTT! Hii 20 ya mkopo hata kama utanuwea pombe ile 45 yako ya UTT italipa na deni likiisha unabakiwa na 45 yako. Hii ni elimu ndogo sana ya uwekezaji niliyokupa ila kama upo tayari kwa ushauri zaidi wa bure tu nicheki PM.
45m ukituliza kichwa ni pesa inayokutoa,.
Scheme hiyo inaitwa Mzigo flex mkuu? Wameweka kwenye website yao?Naona CRDB hapa wanatambulisha Mzigo Flex, hii inakupa interest ya 9% per annum.
Wameizindua asubuhi hii EFM.Scheme hiyo inaitwa Mzigo flex mkuu? Wameweka kwenye website yao?