CCM ndio chama tawala kwa maneno mengine chama chenye serikali ndio kinabeba lawama mambo yakienda vibaya au sifa mambo yakienda vizuri. Kumbuka wabunge wanatoa ahadi kibao wakati wa chaguzi moja wapo ni kupeleka umeme majimboni kwao. Pia ni bunge la chama tawala in this case CCM ndio linapitisha bajeti za serikali hivyo kama halioni mikakati ya maendeleo kwenye hizo bajeti ikiwa ni pamoja na kufikisha umeme sehemu zisizo na umeme lawama apewe nani?
Hawa wanafunzi wamekufa kifo kibaya sana,
lakini pia nimesikia radio clouds asubuhi kwamba watoto wakati wanataka kutoka mlangoni kuna mtu alikuwa anazuia mlango kwa nje kwamba wasitoke , sasa sijui ni nini kinaendelea hapo.
Asalam aleikum, ndugu zanguni? na wenye imani kama yangu pasi na kuwasahau wengine mlio na imani zingine bila kuwasahau wale wasio na imani kabisaaa.....!!!
Pole kwa wafiwa wote na pole pia kwa majeruhi wote, Mwenyezi Mungu pekee ndio mwenye uwezo wa kumfanya mzima kuwa mfu na mgonjwa kuwa mzima, tumtegemeeni yeye kwa kila na kile tukifanyacho AMIN.
Ni kweli ajali ni ajali, na ajali haina kinga. si dhani kama aliyewasha angejua hayo angelithubutu.
Onyo kwa ndugu yangu Indume Yene na Kigogo.
Will you guys lean how to differenciate between serious matters and nun serious matters?
Thanks