LazyDog
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 2,473
- 189
Mheshimiwa Dr. W. Slaa,
Nimewahi kusema hapo nyuma kuwa katika mila na desturi zetu tulikuwa na vigezo viwili tu vya kumpata KIONGOZI. Either alirithi au alitia fora kwenye mapambano mpaka akakubalika. Lililotakiwa kwa hawa wote ni kuwa wawe shupavu na wasiwe waoga. Ukiacha Hayati Mwl. J. Nyerere hatujaweza kumpata kiongozi mwingine yeyote mwenye sifa kwa mojawapo ya vigezo nilivyovitaja.
JF ni uwanja wa majadiliano wa jinsi ya kulinda na kutetea maslahi ya Taifa letu bila kujali rangi, kabila, jinsia, chama wala elimu kwani kwa JF - ni nchi kwanza. Ukweli ni kwamba nchi iko njia panda na kiongozi shupavu anatakiwa. Tuungane tuiokoe Tanzania. Karibu Mheshimiwa.
Nimewahi kusema hapo nyuma kuwa katika mila na desturi zetu tulikuwa na vigezo viwili tu vya kumpata KIONGOZI. Either alirithi au alitia fora kwenye mapambano mpaka akakubalika. Lililotakiwa kwa hawa wote ni kuwa wawe shupavu na wasiwe waoga. Ukiacha Hayati Mwl. J. Nyerere hatujaweza kumpata kiongozi mwingine yeyote mwenye sifa kwa mojawapo ya vigezo nilivyovitaja.
JF ni uwanja wa majadiliano wa jinsi ya kulinda na kutetea maslahi ya Taifa letu bila kujali rangi, kabila, jinsia, chama wala elimu kwani kwa JF - ni nchi kwanza. Ukweli ni kwamba nchi iko njia panda na kiongozi shupavu anatakiwa. Tuungane tuiokoe Tanzania. Karibu Mheshimiwa.
.