Zahra White
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 598
- 574
Mie nakaa na mudada mumoja ananisadiaga shughuli zangu.Huyu mudada alikuja kama housegirl but nikamupeleka shule na kumuweka msafi mpaka sasa ninaishi nae.
Ni mudogo yangu kabisa.
wikiend aliniambia dada naenda kwa mupenzi yake atalala huko.
Akaenda alivyorudi nikamuambia pitia kwa munna anauza sandals 45,000 ukija home nitakupa hela.
Akanijibu dada sina.
Mie kila nikienda ananipa 10,000tshs after sex hata nikimuambia ninataka nini hanipi yeye ananipa afta sex.
Huyu mwanaume hafai kwa nini amupe after sex?
Tena 10,000.
It will be wise kama hamupi aftasex bt anamuingizia akaunt au anamumpesa mda wowote.
mimi nimemuchukia bora Alex hawajawahi sex but anamujali sana.
Na nyie munaopewa ten thousand afta sex musipokee.
Ni mudogo yangu kabisa.
wikiend aliniambia dada naenda kwa mupenzi yake atalala huko.
Akaenda alivyorudi nikamuambia pitia kwa munna anauza sandals 45,000 ukija home nitakupa hela.
Akanijibu dada sina.
Mie kila nikienda ananipa 10,000tshs after sex hata nikimuambia ninataka nini hanipi yeye ananipa afta sex.
Huyu mwanaume hafai kwa nini amupe after sex?
Tena 10,000.
It will be wise kama hamupi aftasex bt anamuingizia akaunt au anamumpesa mda wowote.
mimi nimemuchukia bora Alex hawajawahi sex but anamujali sana.
Na nyie munaopewa ten thousand afta sex musipokee.