W WINGER_TEREZA JF-Expert Member Jul 31, 2015 242 450 May 12, 2020 #3 Chadema na Spika ni thadith isiyoisha utamu, just we nunua popcorn then wahi siti
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Aug 7, 2014 80,836 93,612 May 12, 2020 #4 Mzee yupo juu ya katiba, anaendesha bunge kama mali yake binafsi.
ruhi JF-Expert Member Feb 26, 2012 3,735 5,400 May 12, 2020 #5 Wakati Lipumba anawafuta wanachama ilikua sahihi kwa spika; ila kwa Chadema siyo sahihi...
M Mzinza wa town JF-Expert Member Mar 15, 2018 347 368 May 12, 2020 #6 Jamani eti Mh Kazi ndugu hai ambaye ni kipaza sauti ni mwanasheria?