Unapatikana wapi???Zimebaki CHACHE
Ipo ya voda 20,000/=Zimebaki CHACHE
Hauna za mitandao mingine tofauti na airtel?
Hapana mkuuHauna za mitandao mingine tofauti na airtel?
Zina function ya wifi? Ili kuruhusu watu wengi kuconnect? Je unapatikana wapi?
Ipo ya voda 20,000/=