sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,564
- 11,478
Kwa sasa yupo vizuri. Si kama alivyokuwa chadema. Mara mahakamani, mara vikao vya nini sijui, bado wampige mizinga.Nilimuona lowasa amezeeka sana hawezi simama vizuri,akili za uzee ni kama unarudi utotoni.