Muungwana kutangaza baraza jipya mwaka mpya, wengi watapotea wala sii mmoja..
subirini tutalikisha kitu fulani baadaye leo... ngoja watu wafurahie Eid kwanza... ndiyo sababu haikutangazwa leo...
Serekali ya awamu ya nne itapata pigo kubwa sana 07/2008 itaondokewa na kiongozi mkubwa sana.
msinielewe vibaya nina Deliver MSG tu.