johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,855
Hii tarehe ya leo tarakimu zake zimekaa vizuri sana ni 0 na 2 basi.
Leo ndio siku ambayo Nabii na mtume Mwamposya amekamatwa na jeshi la polisi na kwa maana hiyo atalala rumande nadhani ni mara ya kwanza tokea apate daraja la Utume.
Siku hii haitasahaulika kwa waumini wake iwe positively au negatively.
Nawatakia dominica ya 02/02/2020 yenye baraka!
Leo ndio siku ambayo Nabii na mtume Mwamposya amekamatwa na jeshi la polisi na kwa maana hiyo atalala rumande nadhani ni mara ya kwanza tokea apate daraja la Utume.
Siku hii haitasahaulika kwa waumini wake iwe positively au negatively.
Nawatakia dominica ya 02/02/2020 yenye baraka!