LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
- Thread starter
- #21
Maisha bora kwa kila Mtanzania
Hawa mafisadi wameshindwa kutuuza ughaibuni wazima wazima!
Maisha bora kwa kila Mtanzania
Liwalo na liwe
toka huko.... khaa....utaishije sasa.....?
walevi wote okokeni ili Mmuikomeshe budget ya pombe na sigara...
Siyo lazima wote hata robo yao maana yake lazima bajeti iyumbe...Hili nalipeleka kwenye kila pale nitakapoweka nanga kama wadau watalipokeaje hili.
Kama hata tutawakomesha hawa mafisadi!