LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,216
Nikiwa kijiweni tangu majira ya mchana na nipo karibu na dpot ya bia ya kampuni ya TBL na nikaona malori kama matatu aina ya Benzi na hizi benzi nyingine hz kibin fupi tani 5 kama 8 hv zinaleta bia kwenye hii depot na ktk kumwuliza mmoja wa wafanyakazi wa pale (Driver) akaniambia, kuanzia tarehe moja karibia kila kitu ya kampuni yetu inapanda mara dufu Mzee wetu anaweka stoke ya kutosha.
Na siyo hiyo tu nikiwa tena naelekea home jioni hii,nikakuta jam duka moja la hapa mtaani kwetu nikauliza mbona leo jam mpk dukani?
Mama mmoja akaniambia wewe uko Nchi gani? Kesho ni tar 1/7/2012 kila kitu kinapanda bei. Haujui rais wenu ameamua kutua raia wa chini lakini MUNGU yupo huyo mama aliongea akiwa na mchungu kweli.
Je? Ni kweli haya ya tar tajwa ni kweli?
Kwa anayejua atujuze wajamen!
Na siyo hiyo tu nikiwa tena naelekea home jioni hii,nikakuta jam duka moja la hapa mtaani kwetu nikauliza mbona leo jam mpk dukani?
Mama mmoja akaniambia wewe uko Nchi gani? Kesho ni tar 1/7/2012 kila kitu kinapanda bei. Haujui rais wenu ameamua kutua raia wa chini lakini MUNGU yupo huyo mama aliongea akiwa na mchungu kweli.
Je? Ni kweli haya ya tar tajwa ni kweli?
Kwa anayejua atujuze wajamen!