Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,223
Kulikuwa na harusi ilifanyika kanisani, wakati misa ya ndoa ikiendelea Mchungaji ikafika wakati wa kuuliza kama kuna mtu mwenye kipingamizi na ndoa, babu mmoja na mkongojo wake akajivuta taratibu mpaka mbele, bibi harusi alipomwona akapiga kelele "Mungu wangu" akaanguka na kuzimia, Mchungaji akamuuliza "Ehee babu tuambie una kizuizi gani?" Babu akajibu "kule nyuma spika mbovu nimeamua kuja mbele nisikie vyema".