ucl

The UCL Faculty of Laws is the law school of University College London (UCL), itself part of the federal University of London. It is one of UCL's 11 constituent faculties and is based in London, United Kingdom. It is one of the world's leading law schools, and ranked 8th globally in the 2018 Times Higher Education World University Rankings for Law.Established in 1826, the Faculty was the first law school in England to admit students regardless of their religion, and the first to admit women on equal terms with men. The Faculty currently has a student body comprising around 650 undergraduates, 350 taught graduates and around 40 research (MPhil/PhD) students and offers a variety of undergraduate and graduate degrees. It publishes a number of journals, including Current Legal Problems, Current Legal Issues, and the UCL Journal of Law and Jurisprudence.
Notable alumni of the Faculty include Mahatma Gandhi (leader of the Indian independence movement), Chaim Herzog (President of Israel 1983–1993), John Stuart Mill (philosopher and MP), Sir Ellis Clarke (President of Trinidad and Tobago 1976–1986), Lord Woolf (Lord Chief Justice of England and Wales 2000–2005), Lord Goldsmith QC (Attorney General for England and Wales 2001–2007), Terry Davis (Secretary General of the Council of Europe 2004–2009), Taslim Olawale Elias (President of the International Court of Justice 1979–1985) and Chao Hick Tin (Attorney General of Singapore 2006–2008; Judge of Appeal 1999–2006 and 2008–2017).

View More On Wikipedia.org
  1. Teko Modise

    FT: UCL Mechi za Robo Fainali | Arsenal 2-2 Bayern Munich, Real Madrid 3-3 Man City | 09/04/2024

    Muda mchache ujao kutapigwa mechi za robo fainali katika Uefa Champions League. Arsenal Vs Bayern Munich Real Madrid Vs Man City Karata yako unatupia kwa nani?
  2. mugah di matheo

    African Football League ikifanikiwa ndio mpinzani mzuri wa UCL

    Baada ya Vilabu vikubwa vya Ulaya kufanya uasi juu ya UEFA na FIFA kwa kutaka kuanzisha Super League, FIFA chini ya Professor Wenger waliwaza ni vipi watapunguza kiburi cha Vilabu Ulaya? Wakaja na jibu hili, waboreshe Intercontinental Competition toka mabara mengine ili hawa UEFA wapate...
  3. Nehemia Kilave

    Yanga bado wana kitu cha kujifunza kimataifa kutoka kwa Simba, Mnachofanya wana Yanga ni sawa na Newcastle kukebehi Man U kufuzu UCL

    Habari jf, Kwa misimu miwili mfululizo timu ya Simba haijawa katika kiwango kizuri hili halipingiki. Usajili mzuri umefanyika lakini matunda bado hayaridhishi hii inawezekana ni kutokana ni ubovu wa benchi la Ufundi. Mitaani wana Yanga wanaongea sana lakini katika miaka 25 ndio tena mmeingia...
  4. Teko Modise

    Pengine leo tutashuhudia fainali mbovu ya UCL kuliko zote katika historia ya michuano hiyo

    Usiku wa leo ni fainali ya uefa champions league kati ya manchester city dhidi ya inter milan kuanzia milango ya saa 4:00 usiku Ninapata mashaka pengine leo tunaweza kushuhudia fainali mbovu zaidi katika historia kwasababu mbalimbali. Mosi, man city wapo katika fomu ya hatari sana anatoa dozi...
  5. Greatest Of All Time

    Fainali mbovu ya UCL kwa upande wako ni ipi?

    Kwa mujibu wa Football Funnys wanasema Fainali ya Uefa Champions League (UCL) kati ya Spurs Vs Liverpool ndio fainali mbovu kuwahi kutokea katika historia ya ligi ya mabingwa. Spurs alilala 2-0 dhidi ya Liverpool kirahisi mno tofauti na matarajii ya wengi waliodhani itakuwa mechi ngumu! Kwa...
  6. C

    Wacheza watatu(3) pekee kutoka Africa ndio waliofanikiwa kufunga zaidi ya magoli 30 kwenye UCL

    Je wajua? Wacheza watatu(3) pekee kutoka Africa ndio waliofanikiwa kufunga zaidi ya magoli 30 kwenye champions league barani ulaya,,, chakufurahisha zaidi wote hawa wamecheza katika club ya Chelsea kwa vipindi tofauti tofauti Didier Drogba Samuel Etoo Mohamed Salah The Blues updates🔵
  7. jiwe gizani

    Guardiola na laana ya wachezaji wa Kiafrika

    Mwaka 2018 wakala wa Yaya Toure alisema kua"Miungu ya kiafrika haitamuacha Guardiola ashinde CL miaka ijayo hii Itakua Kama laana ya kiafrika nawaambieni mda tu ndo utaongea kama nipo sahihi au laa" Leo guardiola kapoteza fainali ya UEFA dhidi ya Chelsea naona Kama laana ya kiafrika imemshukia...
  8. W

    Utabiri: UEFA Champions League Final itakuwa Chelsea 0-3 Man City

    Game itapigwa siku ya jumamosi tarehe 29/05/2021 ndani ya dimba la Estadio Do Dragao ndani ya nchi Ureno. Tupia utabiri wako hapa. Utabiri wangu. Chelsea 0 vs Man City 3 Either Players to Score. 1. Riyad Mahrez 2. Reuben Diaz Hapo vipi?
  9. Shadida Salum

    Fainali ya UEFA kati ya Man city dhidi ya Chelsea kupigwa Ureno

    Mchezo wa fainali ya kuwania Kombe la Klabu Bingwa Ulaya kati ya Manchester City na Chelsea utahamishiwa Ureno kutokana na UEFA na Serikali ya Uingereza kutofikia muafaka wa mchezo huo kuchezwa Wembley - UEFA ililazimika kutafuta uwanja mbadala kutokana na mlipuko wa ugonjwa #COVID19 katika nchi...
Back
Top Bottom