sera ya afya

  1. Rockefeller

    Je sera ya afya ya Tanzania inasema nini kuhusu haya?

    Habari wakuu, Naomba kujuzwa hivi watoa huduma za afya nchini Tanzania (doctors and nurses) walioajiriwa na wasioajriwa lakini wamesajiriwa na wana leseni za mabaraza yao (MCT & TNMC) 1. Je wanaweza ku practice remotely yaani nje ya health facilities hata bila kuonana na mgonjwa kwa njia ya...
  2. B

    Kinachofanyika kituo cha Afya Bweri cha serikali(musoma mjini) ni uvunjaji wa sera ya Afya kwa watoto,wajawazito na wazee

    Kulingana na Sera ya wizara ya afya juu ya matibabu ya wazee,watoto na wajawazito kutibiwa bure,,lakini katika hiki kituo imekua balaa watoto chini ya miaka mitano hulipia bila hela ahudumiwi au mpaka ukanunue gloves ndo unahudumiwa, Sio hvo tu isitoshe wajawazito kujifungua huambiwa waandae...
  3. B

    Kinachofanyika kituo cha Afya Bweri cha serikali(musoma mjini) ni uvunjaji wa sera ya Afya kwa watoto,wajawazito na wazee

    Kulingana na Sera ya wizara ya afya juu ya matibabu ya wazee,watoto na wajawazito kutibiwa bure,,lakini katika hiki kituo imekua balaa watoto chini ya miaka mitano hulipia bila hela ahudumiwi au mpaka ukanunue gloves ndo unahudumiwa, Sio hvo tu isitoshe wajawazito kujifungua huambiwa waandae...
  4. eliesikia

    Viongozi kujifanya wanalipia gharama za matibabu kwa mgonjwa mmoja badala yakujikita kuweka misingi imara ya huduma ya afya ni HADAA

    Hii naweza kuiita HADAA za kisiasa. Hii ni HADAA haswa kwa wananchi tuliowachagua. Viongozi wamekuwa na tabia hii ya kujifanya ni watu wema sana kuchagua baadhi ya wagonjwa na kulipia gharama za matibabu au kuhakikisha wanasaidiwa katika hospitali zetu za rufaa. Inasikitisha kwa sababu unakuta...
Back
Top Bottom