mazaga zaga

  1. emmapetertz

    Ushauri: Serikali iboreshe Elimu iwe na tija kwa mhitimu

    MHESHIMIWA JOYCE NDALICHAKO (WAZIRI WA ELIMU) NAOMBA TUZUNGUMZE KIDOGO) Mhe Waziri, Heshima kwako.................... ….. Nakupa salamu kwa lugha ya kikwetu Usukumani, "Ulimholla mayu ungumbyala" Ni matumaini yangu u mzima wa afya tele, kama nakuona vile unavyozunguka zunguka katika kiti cha...
  2. emmapetertz

    SoC01 Changamoto za Malezi ya Watoto na sababu za wababa kufa mapema. Je, wamama wanahusika?

    WABABA: CHANGAMOTO ZA MALEZI YA WATOTO & SABABU ZA KUFA MAPEMA. JE, WAMAMA WANAHUSIKA?!! Wanaume ee, Mnajionaje na hali wapambanaji wenzangu?!! Poleni na hongereni kwa siku nyingine tena. Ni matumaini yangu mko poa sana, mkiendelea na majukumu ya kila siku ya hapa na pale katika kuhakikisha...
  3. RODRIGUEZ NORIEGA DUERTET

    Sijapata kampuni sahihi ya kununua traffic, kama kuna yoyote anafahamu naomba anisaidie

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, mimi ni blogger ambaye nilikuwa natafuta traffic au kwa Kiswahili watazamaji wa blog yangu kwa kutumia Facebook, ila kutokana na hali kuwa ngumu nikabidi nibadili mbinu. Sasa toka nimebadili mbinu na kuanza kununua traffic naambulia maroboti tu...
Back
Top Bottom