Tarehe 09/04/2019 vijana wa vyama vya upinzani watafanya maandamano ya kupinga azimio batili la bunge la kutofanya kazi na CAG. Azimio hili ni uvunjaji mkubwa wa katiba. Ukiwa kijana wa nchi hii,tambua ya kwamba,kodi ya kila mtanzania inakaguliwa na CAG na kutolewa report,kupitia CAG ndio kila...
Ujumbe huo unasema: Nyani waliposikia kuwa aliyekuwa akiwafukuza wasile mahindi amekufa, walishangilia sana. Mwaka uliofuata walipata njaa kali maana hakukuwa na mahindi. Ndipo walipogundua kuwa mtu aliyekufa ndiye alikuwa mkulima. Ujumbe: Jifunze kuishi na adui yako maana anaweza akawa ndiye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.