Demokrasi ni raisi kuitamka mdomoni lakini ni ngumu kuitendea haki
Hapa ccm hatuwezi kucomment kwani zanzibar najua maalimu aliishashinda. Tunasubiri kikwetwe atuokoe ccm upande wa zanziba ili maalimu asiapishwe
Siasa za Zanzibar wanazijua wazanzibar wenyewe!
Siasa za Zanzibar wanazijua wazanzibar wenyewe![/]
Hapana unakosea. Zikatae hizo fikra, usikubali zikutawale hasa wakati huu tulio nao ambao kudhulumiana haki imekuwa desturi na hakuna anayeshangaa. Wenye mamlaka wanajipa haki hata ambazo hawastahili wanaturudisha tulikotoka kwa speed ya supersonic, wanaturudisha enzi za ujima. wanajiona wana divine rights. Wamepotoka, wamepotoka kiasi kwamba wanaona ila hawajui kama wanaona. Lakini watambue siasa za wazanzibar kamwe hazitoachwa kwa wazanzibar peke yao. Kila kinachoendelea Zanzibar kinatuathiri moja kwa moja. Saa ya ukombozi yaja, yaja tena kwa kasi na hakika saa hiyo itakapofika wanyonge watajitwalia madaraka, watashika nyanja zote za kiuchumi, kisiasa na kijamii na hawa akina January makamba watagundua zama zao zimepita, watalia na kusaga meno, watatamani nyakati zirudi nyuma lakini hukumu itapita juu yao kwa maana hajutokuwa na namna nyingine.
Hapa ccm hatuwezi kucomment kwani zanzibar najua maalimu aliishashinda. Tunasubiri kikwetwe atuokoe ccm upande wa zanziba ili maalimu asiapishwe
Demokrasi ni raisi kuitamka mdomoni lakini ni ngumu kuitendea haki
Hapo ndio tunamkubali kagame aliwapa nasaha kabla.