True Color of Democracy

Sam GM

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
535
28
Changamoto kwa waTanzania

Kwa vile hapa JF tumekuwa na tabia ya kupeana habari, kurekebishana na kupeana mikakati nimeona kuwa tukiwa na uchaguzi ambao hauko mbali sana tunaweza kuwa na mikakati au changamoto za kuleta maendeleo na mabadiliko katika nchi yetu.

Kuna wakati ambapo watu wamefikiria kuwa watanzania walioko nje wamekuwa wakiandika na kutoa mawazo yao katika mtandao bila kufanya vitendo. Kuna baadhi ya viongozi kama vile Zitto na wengine pia hata wasio viongozi wanaona mchango wa watanzania walioko nje kiuchumi na kimawazo.

Kuna nchi ambazo zimekuwa na taratibu za kuruhusu wananchi wao walioko nje kupiga kura, kwa upande wetu Tanzania hili halijafanyika, kama watu tunaopenda mabadiliko na maendeleo, tutafanya vipi kuwasaidia walioko nje kupiga kura?

Pia kuna nchi kama Algeria (soma hapa) ambazo zimekuwa na uwakilishi bungeni kwa wananchi walioko nje, wamepiga kura na kuchagua hata wabunge au wawakilishi wao, kwa mazingira yetu ya Tanzania na kuangalia mifano hiyo tunaweza kusaidiana vipi kufanikisha haya?

Pia kuna some more info hapa
 
ALGERIA, Elections and Parliament

A. LEGISLATIVE ELECTIONS

Constitutional amendments made in the late 1980s paved the way for a multi-party regime, replacing the single-party system dominated by the National Liberation Front (FLN) since Algeria's independence in 1962. Another constitutional amendment adopted in 1996 made significant changes to electoral procedures. Among its stipulations, it provided for parliamentary representation for Algerian nationals living abroad, and amended electoral, voting, and campaigning procedures. In addition, the amendment prohibits political parties based solely on religious or regional bases. Moreover, the Algerian Parliament became bicameral following the new Constitution, which entered into force in November 1996. It consists of the National People's Assembly (Al-Majlis Ach-Chaabi Al-Watani) and the National Council (Al-Majlis al-Umma). Together, they exercise legislative power.

How do we push to have every vote counted in the coming election, especially votes za watanzania wanaoishi nje, haba na haba hujaza kibaba!

source:http://www.medea.be/index.html?page=2&lang=en&doc=13
 
gm,
Navyoelewa mimi Wananchi wanaoishi nje (Diaspora) hawatambuliwi kama raia wa Tanzania (karne ya 21 hii)..
Mara nyingi sheria zetu hazitazami wananchi walioko nje ktk masomo ama wamekwenda kufanya kazi kwa hiyo tunakuwa tumefungwa kimawazo.
Kama sikosei Algeria imewatambua raia wake wanaoishi nje hata kama wamepata Uraia wa huko maadam tu hawajaukana Uraia wa Algeria..Labda kama sisi pia tutaanzia sheria ya Uraia wa nchi mbili au tatu (Duo Citizenship) kama walivyofanya wao..

A person born in Canada to an Algerian father and British mother automatically acquires the Algerian citizenship and is entitled to British citizenship (in both cases).
The child also is also entitled to Canadian citizenship.
Algeria allows its nationals to acquire multiple citizenship. However, Algeria recognizes its nationals on its soil as Algerian, which can limit the ability of other countries whose citizenship the child possesses to provide consular assistance to the child when (s)he encounters problems.
 
gm,
Navyoelewa mimi Wananchi wanaoishi nje (Diaspora) hawatambuliwi kama raia wa Tanzania (karne ya 21 hii)..
Mara nyingi sheria zetu hazitazami wananchi walioko nje ktk masomo ama wamekwenda kufanya kazi kwa hiyo tunakuwa tumefungwa kimawazo.
Kama sikosei Algeria imewatambua raia wake wanaoishi nje hata kama wamepata Uraia wa huko maadam tu hawajaukana Uraia wa Algeria..Labda kama sisi pia tutaanzia sheria ya Uraia wa nchi mbili au tatu (Duo Citizenship) kama walivyofanya wao..

A person born in Canada to an Algerian father and British mother automatically acquires the Algerian citizenship and is entitled to British citizenship (in both cases).
The child also is also entitled to Canadian citizenship.
Algeria allows its nationals to acquire multiple citizenship. However, Algeria recognizes its nationals on its soil as Algerian, which can limit the ability of other countries whose citizenship the child possesses to provide consular assistance to the child when (s)he encounters problems.

Mkandara,

It is a shame that serikali haitambui watanzania wanaoishi nje. JF ina member ambao wako Tanzania na wengine wengi tu walio nje ya nchi, kama wote hawa wangepiga kura japo inawezekana isilete mabadiliko makubwa lakini hatua za mabadiliko zingeanza kuonekana. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Nafikiri kwa hii miaka miwili kabla ya 2010 tunaweza kuanza kulobby au kuwasukuma wabunge kuhusu mabadiliko ambayo yataruhusu kila kura ya mtanzania popote alipo ihesabiwe.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom