pauline
JF-Expert Member
- Dec 26, 2010
- 650
- 140
mambo JF...
Nimesikia tu sina uhakika na hili,kuwa moja ya sababu zinazofanya watoto kuwa bullied mashuleni ni kutokana na kuwa na facial features ama maumbile yaliyo tofauti kidogo,kwa mfano masikio makubwa,lol pua ndefu ama unene uliozidi...
nilikuwa natoa tu angalizo kwa wana JF wenzangu tunapochagua wenzi wa maisha then,tuhakikishe tunachagua mbegu iliyo bora lol,go for someone who is really good looking ili hata watoto watakaozaliwa nao watoke wazuri kua void bullying........
msinishushue mie nimesikia tu..:msela::msela::msela:
Nimesikia tu sina uhakika na hili,kuwa moja ya sababu zinazofanya watoto kuwa bullied mashuleni ni kutokana na kuwa na facial features ama maumbile yaliyo tofauti kidogo,kwa mfano masikio makubwa,lol pua ndefu ama unene uliozidi...
nilikuwa natoa tu angalizo kwa wana JF wenzangu tunapochagua wenzi wa maisha then,tuhakikishe tunachagua mbegu iliyo bora lol,go for someone who is really good looking ili hata watoto watakaozaliwa nao watoke wazuri kua void bullying........
msinishushue mie nimesikia tu..:msela::msela::msela: