Angalizo...tunapochagua...

pauline

JF-Expert Member
Dec 26, 2010
650
140
mambo JF...

Nimesikia tu sina uhakika na hili,kuwa moja ya sababu zinazofanya watoto kuwa bullied mashuleni ni kutokana na kuwa na facial features ama maumbile yaliyo tofauti kidogo,kwa mfano masikio makubwa,lol pua ndefu ama unene uliozidi...

nilikuwa natoa tu angalizo kwa wana JF wenzangu tunapochagua wenzi wa maisha then,tuhakikishe tunachagua mbegu iliyo bora lol,go for someone who is really good looking ili hata watoto watakaozaliwa nao watoke wazuri kua void bullying........

msinishushue mie nimesikia tu..:msela::msela::msela:
 
kabla hujachagua hiyo mutu ya good looking,
hebu jichakachue kwanza wewe, je na wewe unayo hiyo good looking?
otherwise...............lol..
 
mambo JF...

Nimesikia tu sina uhakika na hili,kuwa moja ya sababu zinazofanya watoto kuwa bullied mashuleni ni kutokana na kuwa na facial features ama maumbile yaliyo tofauti kidogo,kwa mfano masikio makubwa,lol pua ndefu ama unene uliozidi...

nilikuwa natoa tu angalizo kwa wana JF wenzangu tunapochagua wenzi wa maisha then,tuhakikishe tunachagua mbegu iliyo bora lol,go for someone who is really good looking ili hata watoto watakaozaliwa nao watoke wazuri kua void bullying........

msinishushue mie nimesikia tu..:msela::msela::msela:

Kumbe muoga eehhh.

Ila kweli mwenzangu aahhh unakuta yaani mmmmhh ah ngoja niishie hapa. Nitarudi
 
kabla hujachagua hiyo mutu ya good looking,
hebu jichakachue kwanza wewe, je na wewe unayo hiyo good looking?
otherwise...............lol..

Una look bad nini mzee mbona umekuwa mkali ghafla???
 
kabla hujachagua hiyo mutu ya good looking,
hebu jichakachue kwanza wewe, je na wewe unayo hiyo good looking?
otherwise...............lol..

bacha mie sina good looks,ila natafuta mwenye good looks tumpunguzie mwanetu ubaya lol,sasa achukue masikio yangu makubwa,afu achukue na mpua wako bacha huoni....mwanetu atateseka?lol:twitch::laugh:
 
kabla hujachagua hiyo mutu ya good looking,
hebu jichakachue kwanza wewe, je na wewe unayo hiyo good looking?
otherwise...............lol..
hi bacha! nadhani huyu mleta sredi ana tatizo kuliko lile la kwangu, tena lake ni la ajabu sana.
 
Kumbe muoga eehhh.

Ila kweli mwenzangu aahhh unakuta yaani mmmmhh ah ngoja niishie hapa. Nitarudi[/QUOTE

mie muoga bwana wananchi wa JF wakiwa na hasira na thread utaiona chungu....mbona sasa DA husemi unakuta mmmnh nini tena???umesema utarudi,twakusubiri kwa hamu dear.:sick:
 
bacha mie sina good looks,ila natafuta mwenye good looks tumpunguzie mwanetu ubaya lol,sasa achukue masikio yangu makubwa,afu achukue na mpua wako bacha huoni....mwanetu atateseka?lol:twitch::laugh:

sioni mateso yeyote atakayopata hapo!
sasa ninaanza kuona sababu ya nyinyi,
wapenda good looking jinsi mnavyoweza kuchepuka nje ya ndoa zenu lol....
 
sioni mateso yeyote atakayopata hapo!
sasa ninaanza kuona sababu ya nyinyi,
wapenda good looking jinsi mnavyoweza kuchepuka nje ya ndoa zenu lol....

ukweli,mie siwezi nikaprove ila ukiwa na hizi features utaonewa sana mashuleni kwenye playground nk....
ila nimeanza kuamini,kuwa hujiamini au na wewe una mpua mkubwa kweli???LOL:laugh::laugh:
 
hi bacha! nadhani huyu mleta sredi ana tatizo kuliko lile la kwangu, tena lake ni la ajabu sana.

ngoja atufafanulie vizuri hiyo good looking,
hebu kuja hapa Pauline, elezea sisi hii maneno vizuri?
 
Yatakushinda tunatafuta handsome kidogo sio sura kama Remmy (R.I.P)

Halafu wewe unaonyesha una sura mbaya sana maana umekamalia kama nini

sasa wewe umeona Remmy ndo alikuwa na sura mbaya eeeeh?
mungu amlaze pema pepon.Amen
Lakini alipendwa na amekufa ameiacha familia yake!!!!
sasa hiyo good looking sijui ni ipi tu?
 
sasa wewe umeona Remmy ndo alikuwa na sura mbaya eeeeh?
mungu amlaze pema pepon.Amen
Lakini alipendwa na amekufa ameiacha familia yake!!!!
sasa hiyo good looking sijui ni ipi tu?

Nimetoa mfano.

Ndo nakwambia mie siwezi kuchagua sura kama yako you are not good looking. Full Stop
 
Back
Top Bottom