Dah! Palm ja na yote mnayojiuliza ila mimi new mejiuliza sana juu ya hili na jibu sina. Mwaka huu wenye div 1 na 2 wamekosa vyuo sehemu mbali mbali sababu kubwa ni ushindani. Sijaelewa hasa kinachrahisisha elimu ya Tanzania hadi viwango vikubwa kama hivyo kukosa nafasi. Elimu yetu inashuka kama...
Mtoa mada uko sawa kabisa. Kuna jambo wamrfanya bila kufikiri kwa kina. Kumbyima mtu mkopo kwa kigezo eti kamaliza form six 2009 si jambo jema hata kidogo.
Wanachukulia kwamba mtu huyu atakuwa alishaajiriwa lakini kwa upande wangu wanakosea. Wengine hawana uwezo hata kidogo wa kuchangia ada...
Mwaka jana niliomba chuo na nikapata. Pia niliomba mkopo ila sikupata hata asilimia 0. Kutokana na kutopata mkopo nilishindwa hata kwenda kiripoti chuoni badala yake ilinibidi kujipanga mwaka huu niende kwa kujilopia. Habari ambazo ninazipata ni kwamba mwaka jana data zinasoma kuwa nilipata...
Nitakujibu vizuri endapo utanipa faida tano za kujuwa kutumia silaha zote hizo ulizotaja kwa mwalimu au mwanafunzi wa chuo kikuu. Hii hela iliyotumika kuwapeleka wanafunzi hawa huko je huoni kama ingeweza kurumika katika kuleta faida kubwa zaifi ya hiyo? Hebu tuangalie tena je! Kupelekwa huko...
Naona ilikuea njia moja ya kuwapa wajeshi fursa ya kutembea na dada zenu tuu. Maana ilifika hatua dada zenu kufanyiwa hadi vyooni. Au hamkujua hili??? Ukaka mavu hata nyumbani unaweza kuupata ukitaka. Unaweza ukawa umerudi mlokole jina tuu.
Nashukuru sana kwa ufafanunuzi mziri kaka. Mimi tayari nimechukuwa ila kwenye hii letter sijaelewa ni wapi nawza pata namba yangu kwani baada ua kuchukuwa nilienda kupiga picha tuu kwa ajili ya kitambulisho. Je hii namba ipo? Na kama ipo ndio ipi kaka?
Wanataka kutupanda vichwani sasa. Nadhani wamechoka na sisi hawa washenzi kabisaaaa. Ki ukweli nikikatwa hiyo hela nitakuwa wa kwanza kuchukuliwa hatua kwa kugoma kufanya kazi na nitaacha kabisa fani.
Mimi ni mwalimu kwa takriban miaka mitatu sasa. Na nina uzoefu mkubwa sana na wanafunzi na tabia zao kwa kwa mfululizo miaka miwili nimekuwa mwadili wa wanafunzi. Kesi nyingi wazazi huwa hawatoi msaada na mara nyingi hujikuta wakiwatetea watoto wao suala ambalo huwa sababu kubwa ya migogoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.