Search results

  1. M

    Charles Kimei atangaza kustaafu Ukurugenzi CRDB mwaka 2019

    Dr Kimei amejitahidi sana kuijenga CRDB imeenea nchi nzima huduma za uhakika na imesaidia kukuza uchumi wetu Tz, hasa mikopo, saving, kukuza sekta ya kilimo, viwanda na ajira. Amekua mfano wa kuigwa.
  2. M

    Mfanyakazi wa Shirika la Mfuko wa Pension (PPF) Anitha Oswald (32) Ni Mtuhumiwa wa Kusafirisha dawa za Kulevya

    Duh! Ila hapo kwa majirani zetu Kenya ni bidhaa kama kisamvu na mchicha!
  3. M

    NEC wapiga marufuku siasa kwenye kampeni za madiwani

    Atuonesha anatumia kifungu kipi kusema hayo. Huu ujinga uwe na mipaka.
  4. M

    Ufafanuzi wa kina juu ya (vyeti) elimu ya Makonda

    Kumbe ni kweli kafoji vyeti. Sasa ukweli unazidi kudhihirika.
  5. M

    Mamia ya wanachama kuihama CHADEMA ni pigo takatifu hilo

    Nguzu zote ni kuchukua wanachama wa chadema au kukuza maslahi ya taifa? Mikataba mibovu si ccm walisaini?
  6. M

    Baada ya "Vuta Nikuvute" sasa mwili wa Mzee Ndesamburo kuagwa Uwanja wa Majengo badala ya Mashujaa

    Hata uwanja wa majengo upo karibu na taasisi kama majengo sec, majengo Primary, kituo cha afya majengo. Serikali iache unafki izue maziko ya umma ili nafsi ya Gambo magu na wana ccm ziridhike, si ifike jumatatu watume magari ya polisi.
  7. M

    Mali za Said Lugumi zakamatwa na TRA kwa kudaiwa Kodi ya Sh. Bilioni 14

    Sinema inaendelea. Vp ile tenda ya Lugumi kwa polisi na uhamiaji imefikia wapi?
  8. M

    Utaratibu mpya wa kupata fao la kujitoa NSSF

    Duh! Pole sana mkuu. Je unapoenda kila mara wanakwambiaje? Je upi ni mfuko mzuri kujiunga?
  9. M

    Mugabe awatuhumu marais wenzie wa Afrika kuhongwa na Morocco

    Kumbe mtukufu mfalme alikuja kutuhonga! Vipi ujio wa rais wa Uturuki hapa Tz nae anataka tumpe nn? Au kudhibiti wale wa Turuki waliotaka kumpindua wenye vitega uchumi hapa nchini???
  10. M

    Yaliyojiri Bungeni: Mbowe, Naibu Spika wazozana tena kuhusu swali kwa Waziri Mkuu

    Huyu naibu spika hovyo, naanza kuelewa kwa nn walizuia bunge live. Aache waziri mkuu ajibu maswali yeye ni kama msimamizi tu kwenye mtihani anapochagua nn kijibiwe inaonesha anajipendekeza kwa waliomteua.
  11. M

    Dangote yafafanua kusimama kwa shughuli za uzalishaji

    Hata waziri wa habari wa Iraq alikanusha kuwa hawajazidiwa nguvu, hata ATCL, TRL, TWIGA BANK, G sport nk nk walikuwa wanakanusha na kusema mambo ni shwari makampuni yana hali nzuri. Wanaofanya kazi humo tunao mtaani wansema hali si nzuri.
  12. M

    Mume na mke!

    Ha ha ha ha ha h!! Hayo si mambo ya muungano
  13. M

    Baada ya Kuwambia Ukweli Sasa Wameanza Kutishia Watu Amani

    Hizi ndizo sifa za serikali ya kidikteta,
  14. M

    Wabunge CUF waunga Mkono UKUTA

    Gazeti la uhuri lilipotosha sana, leo lije kukanusha. Zile habari uchwara za cuf kipinga ukuta waliziokota wapi?
  15. M

    Halmashauri yaamrisha mgambo kukatakata bidhaa za machinga Mwanza kwa kukataa kuhama

    Rais alitafsiriwa vibaya, ulikuwa utani kama ule wa kufyatua watoto wengi atawasomesha bure.
  16. M

    Kukamatwa kwa Bernad wa Airport: Wachina na foreigners wote wakaguliwe vibali vyao

    Wachina ni wawekezaji hata kwenye sekta ya uchomaji hahindi mjini.
  17. M

    Mbowe amkaribisha rasmi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Hai

    Safi sana, wengine waige mfano wako.
  18. M

    Uteuzi wa Paul Makonda ulivyoficha ule wa Dkt. Vicent Mashinji

    Hizi ni dalili za ccm kuweweseka, ni sawa jirani kapika pilao ww unakaanga vitunguu swaumu tu ili watu wajue na ww upo vizuri kumbe ni ugali dagaa.
Back
Top Bottom