Usiondoke, cha kufanya jipe muda mwingi wa kwenda sehemu unazopendelea kupata stahehe zako, kakae huko na mtu unaemwamini ni rafiki ako au dada yako, jipe raha ondoa mawazo, Mungu hajatuumba kuteseka, unafanya business tumia hela zako kajipe raha. Pia mweleze mama mzazi wa huyo binti!hilo li...
Kwamtoro, pole sana na utubu katika hilo,maana unamtukana Mungu wako, binadamu wote tumeimbwa kwa mfano wa Mungu, so unataka kuniambia Mungu ni chizi!!we are sorry, sisi sio machizi, kama ni uchizi kichaa unaongelea, kana kwa jina la YESU AU MTUME!!!
Elli shikamoo!!!tena rahaaaaa bila hata jasho, hata mi mimba ya kwanza nimeduu usiku by saa nne, sa tisa usiku uchungu ukaanza, ingawa ulikuwa ni false labor pain, nikaenda nikalala one day hospital, nikadeliver!!!
BEAUTIFUL WIFE, usijali huwa hawatoki mi naona ni tabia tu ya mtu, kama wewe unapenda na yeye anaenjoy na joto lako,sidhani, akifanya hivyo basi hana upendo na huruma kwa mkewe! ila usiwazie hivyo maana utamchukia na hamu nae haitakuwepo.
Niko hoi, hata huku naona tabu kuingia!!asubuhi hii tu nimegonga, na nina siku kadhaa nitue, wanaokosa kwa wake zao wakiwa wajawazito wanamiss, kwa mujibu wa mr anadai ni tofauti na nikiwa sina mimba, anasumbua balaa, thanks God na mimi napenda sana hiyo kitu nikiwa na mimba, wala hatumii nguvu...
Kwa kweli na Mungu ananiona,nampenda mama mkwe wangu na ninmheshimu sana,mimi ni mvumilivu sana sana,na nimwelewa mno na ninapenda kukoselewa,ni mwepesi kuomba msamaha na huwa sirudii kosa haswa nikionywa,ni mama tu na ninamjua ni mtat.Dada mi huwa naona aibu kusema nina mimba,ndio maana huwa...
Mwenzio naonaga aibu,hata mama simwambiagi moja kwa moja,najipelekaga pelekaga ili wanione basi, ok asante mpendwa,sema sitegemei tena, ningesema mapema miezi mitatu tu, lakini angeniambie ile mimba ya first born, hii ningebadilika ningemwambia mapema.
Sio mdomo ni upendo umeniponza!!najigonga nipendwe but wapi!!!Thanks God husband loves me,na anamwelewa mama yake,sijui ingekuwaje maana looh,ni mama mtata!
Pole sana,mimi ni mama pia ongea na mkeo vizuri kwa upole,tena kama baba,mwambie huyo binti ameshikilia maisha yenu mkononi,akihamua anawawapoison wote mnakufa!!yani dada ni mtu wa kumheshimu sana sana,mimi huwa wananisema naendekeza wadada wa kazi,lakini jamani msichana anaweza kuwawekea...
Enyi wadada na wamama wa kileo,tufunge tumwombe Mungu atusaidie tuje kuwa mama wakwe wema wenye upendo wa kweli sio wa kinafiki.Naandika tu lakini nilishamwachia Mungu afanye anavyopenda yeye ila sasa ninazidi kuumizwa.
Hivi kina dada wa humu niambieni,wewe ukiwa na mimba huwa unamwambia mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.