Hawa hawa tukiwachagua maprofesa na madr wanasema hao ndio chanzo cha nchi kuwa nyuma kimaendeleo kumbe huwa wanacheza ngoma wasioijua mdundo wake haaa haaa kweli ustaajabu ya lissu utayaona ya mtatiro
So wats big deal?hv nyie vijana wa ufipa mna nn kwny bongo!sitoshangaa siku mtaweka picha lowasa akiveshwa viatu na mama regina mkasema anaheshimiwa na akina mama wa tz khaaa aisee
Dah hizi bank ni shida tupu kuna mtu anakuja chumba cha interview anaulizia kama ndugu yake amefika tayar kufanya interview unaweza kupatwa na hasira ukaondoka yaani dah acha tu mambo mangine unaangalia tu afu unajiuliza kwanini walikuita kama watu wameshawachagua!
Sasa hapo ni mjenga hoja na muhemukaji!mwisho wa siku itakuwa personal attack!naomba polisi wawepo kulinda usalama maana kuna mmoja hakawii kurusha ngumi akishindwa kujenga hoja
kumbuka sheria inasema anaruhusiwa kutoa kibali endapo atawasiliana na mamlaka ya juu ya wizara.kibali kinatolewa endapo kuna wingi wa wanyama hao na wanasumbua kwny mbuga!sasa je ayo yote amepitia mpaka kutoa kibali?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.