TCRA bado ufuatiliaji wao wa hizi Kampuni zenye ving`amuzi kwa sasa sio mzuri.Zila chanel 5 walizosema zinaonyeshwa bure hata kama hujalipia malipo ya mwezi sio kweli.Mfano ni Kampuni ya TING usipolipa malipo ya mwezi ya sh.10000 huoni hata stesheni moja.Aidha hakuna mfumo wa kuripoti kwao...
Pole sana mkuu. Hata hivyo wakulaumiwa zaidi ni Mamlaka husika. Kwa nini wanaposikia matangazo yao kwenye vyombo vya habari na malalamiko kutoka kwa wadau hawawaiti na kuwarekebisha utaratibu sahihi wa uendeshaji wa biashara yao. Wanapokaa kimya wadai wanawahisi pengine wana maslahi kwenye hiyo...
Hizo takwimu za uchaguzi wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Sekondari mwaka 2013 ni kwa ajili ya Wahisani au Wafadhili wa sekta ya Elimu na sio kwa Watanzania. Hii ndio hali halisi ya Serikali kutufanya Watanzani ubongo wetu haupandi kwenye uchambuzi wa data.Mitihani yenyewe ilikuwa na...
Ili kuthibitisha uzalendo wako ZZK ni vema uachie Ubunge kwa kipindi kimoja ili ukaimarishe chama na kujenga safu ya ushindi kwa CDM kwa ajili ya nafasi ya Urais.
Ni mapema mno kusema lolote kwa sasa. Tusubiri kipindi cha miezi sita aliyoiomba Mangula ndio tutaweza kufanya tathmini iwapo ni kweli CCM imeweza kufunguka au la.:target:
Kupotea kwa Mratibu Elimu Kata huyo kunatokana na USIRI wa taratibu za uendeshaji wa Mitihani hiyo kwa sababu Afisa huyo hufahamu eneo lake la utendaji kazi alfajiri ya siku ya mtihani.Hivi Naibu Waziri halijui hilo.Hembu kabla hawajatoa maagizo yao wafuatilie kwa karibu taratibu zote za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.