Muhongo alishakosa sifa za Uwaziri tangu awamu ya 4. Nashangaa kwanini alirejeshwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tatizo ni mfumo thabiti wa uongozi wa Nchi.Kama tunataka mfumo imara,katiba ya Jaji Warioba iliyokuwa imejaa maadili irudishwe na ya Sitta/Chenge iwekwe pembeni
kusoma Physics si lazima uwe Mwalimu.Na kama unataka kuwa mwalimu Proffessional ukimaliza hiyo kozi unatakiwa ukasome Post graduate Diploma in Education.Sasa hivi Wizara ya Elimu ipo katika mchakato wa kuunda Teachers Proffessional board kama ilivyo bodi ya Wahandisi na kada nyingine.Mojawapo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.