Bw Robert, ninavyojua mimi mwanafunzi haruhusiwi kuwa na simu shuleni. Siyo nyumbani. Mazingira yanaonyesha Huyo mwanafunzi hakuwa mazingira ya shuleni. Km ni boarding school hapo sawa
Tukio lililotokea ni baya sana na la kinyama. Hata hivyo sioni kwanini watu wanaacha kutafuta kiini cha tatizo wanaishia kushutumu kabila la wagogo kana kwamba tatizo ni kuwa mgogo. Wapo wagogo wasomi wa haja na waelewa tu km akina Prof Paramagamba Kabudi, Prof Yohana Msanjila, Prof E. Mbenna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.