Mtoe Jiwe uondokane na manunuzi ya kichwakichwa yasiyofuata bajeti wala open tender process.
Mtoe Jiwe uondokane na ujinga wa kununua ndege ambazo huna hata watu wa kuziendesha na kuzikarafati inavyohitajika kimataifa.
Kama hujamtoa Jiwe, madudu aliyofanya aliyoyafunika ukija kuyajua...
Swali langu hujajibu.
Lini?
Kama anachosema Tundu Lissu ninkweli, jibublako linaweza kuwa spin tu.
Unajua unachoandika au una speculate tu?
Umenunua ndege hata marubani wa kuendesha huna?
Lissu anasema ma engineers wamefeli huko. Ni kweli?
Kama kweli.Wakiendelea kufeli itakuwaje?
Wanasema go big or go home, no half stepping.
Kama Magufuli angetaka kueleza, angeeleza yote muhimu.
Kama hakutaka kueleza, angetengua tu bila kutoa sababu. Rais halazimiki kutoa sababu. Lakini akishaanza kutoa sababu, ni lazima ziwe za kueleweka.
Tayari kuna watu washaanza kusema rais kamtoa...
Hakuna maendeleo bila kukosoana.
Tutazunguka katika makosa yaleyale kwa kuogopa kuonekana si wazalendo?
Rais ni mtu tu. Wasaidizi wake pia ni watu. There is such a thing as "the wisdom of crowds" ndiyo maana Waswahili wakasema "penye wengi haliharibiki jambo". Ndiyo maana Wagiriki wakaweka...
Hapana.
Hahitaji kuisafisha serikali yake kwa namna yoyote ile.
Anahitaji kuisafisha serikali yake kwa namna sahihi inayofuata sheria na maadili.
Tatizo unamuwekea standards ndogo sana wakati yeye ni mtu mwenye kazi kubwa sana.
Tukisema uonewe kwa kupigwa risasi kwa kosa ambalo hujafanya kwa...
Kwa sababu haheshimu utawala wa sheria.
Neither the letter nor the spirit.
Anapenda udikteta.
Ndiyo maana kaapisha wabunge uwaziri kabla hawajaapishwa ubunge, kaliamuru bunge lipeleke fedha za tafrija yake kwenye matumizi ya hospitali against the pronciple of separation of powers, kaingikia...
Katika ufunguzi wa daraja la Nyerere Magufuli amemtoa kazini Kabwe na kusema watu wa aina hii hawana nafasi katika serikali yake.
Rais anaposema watu wa aina hii hawana nafasi katika serikali yake, baada ya ripoti ya dakika mbili tu ambayo haijampa mtuhumiwa nafasi ya kujitetea, hajahukumu?
Bila due process tutajuaje huyu ni mwizi kweli na huyu kasingiziwa?
Ukikataa due process utakubali kubambikiwa kesi na kuhukumiwa bila nafasi ya kujitetea?
Rais, kwa nia nzuri kabisa, hawezi kukosea katika huko kutumbua?
Walipokosea wapi? Unaweza kutaja specifics?
Uzalendo ni nini? Raia wanaotekeleza wajibu wao wa uraia wa kukosoa viongozi wanakosa uzalendo?
Kwa nini isiwe kwamba raia wanaoshangikia tu bila kukosoa pale penye la kukosoa ndio...
Wanajiandaa kwenda Lusaka kwenye birthday ya Kaunda.
Wanavuka daraja la Nyerere, watapitia barabara ya Nyerere kwenda kupanda ndege uwanja wa ndege wa Nyerere.
Rais ana haki ya kuteua na kutengua anayetaka kwa mujibu wa sheria na katiba.
Lakini, rais akianza kusikiliza mashauri kwa upande mmoja jukwaani na kuamua hapo hapo kumuondoa mtu kwa lugha ya hukumu, tuna tatizo.
Hata kama huyo anayeondolewa ni mwizi kweli.
Tatizo linajitokeza sehemu mbili...
Labda watasema Wamarekani walikuwa na teknolojia hii from the 1770s, walikuwa wanaificha tu. Inawezekana hata waliitumia katika Revolutionary War, we all enjoy a good conspiracy theory, lakini iwe na akili basi, hizi conspiracy theories nyingine hata hazina akili
Nduguzanguni, tafaanalek kufa hakuna breki!
Chafya!!!
Nilikuwa Kimanzichana, Mkuranga na Salasala nafukuzia viwanja, si unajua tena ardhi haiozi na mafisadi wanataka kukata mapande yote, sasa tunabanana.Pia naonana na wazee wa busara wananipa mikanda kabla hawajaanza wanavyosema wenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.