Search results

  1. N

    UKAWA waijibu BAKWATA: Taarifa kwa vyombo vya habari

    Hawa hawa viongozi wa dini ambao kikwete alituambia ni wauza unga? Tundu bana..
  2. N

    Yanayojiri bungeni Dodoma: Leo tarehe 6 June, 2014

    Wapi hiyo, kwenye huu mchezo wa kuigiza unaorushwa na tbc na stat tv. Nadhani huo unaanza saa tatu adubuhi. Bahati mbaya episode ya leo sijaiona, ningeweza kuchangia
  3. N

    '' kura '' ndiye muamuzi wa mwisho juu ya katiba.

    Wayachakachua maoni kama wanavyofanya kwenye uchaguzi mkuu
  4. N

    Halima Mdee Unachemka

    Mtafanya vema mkiichagua CCM, kwani serikali ya CCM ilishasema mkichagua wapinzani hawaleti maendeleo.Shauri yenu.
  5. N

    Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

    Pamoja na kuwa Mimi ni shabiki wa yanga, lakini nawaombea Azam wachukue kombe watuwakilishe kwenye kombe la mabingwa
  6. N

    Gharama zinazoambatana na serikali tatu, mpo tayari kodi zipande?

    Watanzania hatushtushwi na ongezeko la kodi. Pandisha umeme, poa tu, pandisha bei za bidhaa madukani, nauli za mabasi, ada za shule... poa tu. Njoo Tanganyika yetu tupo tayari hata kula majani kama tulivyofanya ili Nkapa apate pipa la kutalii.
  7. N

    Yaliyojiri Kalenga: Uchaguzi wa Ubunge - Machi 16, 2014

    Nimefuatilia mazungumzo ya hili jamvi toka matokeo yatoke nimeona inazungumziwa CDM tu. Nilidhani ni wakati mzuri kwa CCM kushangilia ushindi, na kuona namna gani Mgimwa jr ataendeleza gurudumu aliloachiwa na Mgimwa sr. Changamoto ni nyingi jimboni, msaidieni dogo kupambana nazo. Otherwise ni...
  8. N

    Dodoma leo: Waraka wakusanywa

    Kwa nini usiuweke hapa jamvini tuuone?
  9. N

    Siku tatu za CHADEMA walizompa rais Kikwete zimeishia wapi?

    Tatizo cdm walidhani jk ni kiongozi muadilifu. Next time they need to shame him as they did at mwembeyanga without giving him a chance
  10. N

    Viongozi wa CHADEMA Iramba wakamatwa na polisi

    Zamani, enzi zilee, nilidhani mtu akienda Ulaya basi anakuwa na busara!!!
  11. N

    Kikwete hajatoa kauli ya kuhamasisha vurugu. Ni uzushi wa watu wanaomchukia

    Unapozungumzia nchi ya kidemocrasia na yenye kufuata utawala bora, kauli ile ya Kikwete haiwezi kutolewa na Rais wa nchi. Unaweza kuipata kauli hii kwa kiongozi wa chama tu kama tulivyoshuhudia kwa mwenyekiti wa CCM. Niungane na wewe kumtetea Rais wetu, maana Rais ni taasisi. Na yeyote...
  12. N

    Ukarabati wa bunge la katiba wagharimu sh. bilioni 8.2

    Halafu eti tukiikataa rasimu hii mpya kwenye kura ya maoni eti tutarudi kwenye katiba yetu ya sasa!!! Ambayo hata Rais anaamini(?) kuwa haifai (amenukuliwa akisema kuwa katiba hii mpya ni ya kutupeleza miaka hamsini na zaidi ijayo). Something is wrong with us upstairs. Someone can do the math...
  13. N

    Picha: Hali ya Uchaguzi mdogo Kiboriloni ilivyokuwa hadi CHADEMA wanachomoza na Ushindi

    Nikitazama picha hizi, na hasa jinsi polisi walivyovaa inaonyesha chaguzi za Tanzania sio mahali salama. Serikali inategemea kuwa lazima vurugu zitazuka, ndio maana wanawaandaa polisi hivyo. Mahali ambako CDM inahisiwa kushinda basi Polisi humwagwa kwa wingi ili 'kudhibiti vurugu' zinazoweza...
  14. N

    Katiba Mpya: Nitakuwa Tayari Kupokea Maoni Yako Kuanzia Leo!

    Hivi huu ni wakati kweli wa kupokea maoni? Tume ya warioba imefanya nini? Kama mpaka wakati huu rais amekuteua kwenda kupitia/ kujadilidi maoni ya wananchi kwa namna ya kuboresha halafu wewe unataka maoni tena kutoka kwetu..., haishangazi sana kuwa sisi tumebaki kuwa taifa la hovyo sana. Kuna...
  15. N

    Mwigulu achafua hewa bungeni na kuzua miguno

    Maswali kama haya yanasaidia kuona jinsi gani Tanzania ilivyo na serikali legelege iliyosababishwa na raisi dhaifu kiutawala. Mbunge wa chama tawala , ambaye ni naibu katibu mkuu(?)anamuuliza waziri kuwa wizara yake ni dhaifu kiasi cha kushindwa kuchukua hatua matukio ya mauaji yenye utata (bila...
  16. N

    Picha ya LEO: Ni HATARI Wanafunzi Wanafanya MITIHANI yao KWENYE UWANJA wa MPIRA...

    Ni utaratibu tu? wa kufanya mtihani uwanjani? You are kidding me! Shule zipi unazodhani ziko vizuri Tz? Zunguka shule za Dar (kama uko Dar) kisha uje utuambie hali ikoje. Kidumu chama cha mapinduzi
  17. N

    Du, Kiinglish cha Viongozi wetu: Inatia aibu!

    Lakini huyu Kikwete amekuwa waziri wa mambo ya nchi za nje kwa miaka kumi mfululizo. Aliwezaje kumudu nafasi yake hiyo kama uwezo wake wa kujieleza ni huu?
  18. N

    Du, Kiinglish cha Viongozi wetu: Inatia aibu!

    Kama unayo clip ya Dr Nchimbi tuwekee ili tujiridhishe. Ya Dr Kikwete angalau tumeiona.
  19. N

    Mbunge Serukamba atoa maoni kuhusu bomu la Arusha

    sikutegemea kitu kingine zaidi ya hiki kwa mtu anayeweza kutumia 'the F word' bungeni. Bole kwa wale ambao bado mnapay attention kwa kila anachosema bazazi huyu.
Back
Top Bottom