Unaweza ukawa sahihi ila laiti kila mtu angelijua namna na mfumo wa halmashauri ulivyo tusinge tegemea makubwa kutoka katika taasisi hizi.
Tunahitaji kuwa na hizi halmashauri lakini zinahitaka kuangaliwa muundo na mfumo wake upya.
Niwakati wa kutafiti na kulinganisha hasara na faida ya mabasi ya abiria hasa ya umbali mrefu kama Mwanza-Dar, Musoma/tarime-Dar, Sumbawanga/mpanda- Dar, Mwanza-Mbeya, Arusha- Mbeya, Kigoma- Dar, Bukoba-Dar na zingine nyingi ambazo kwa sasa nilazima kusafiri kwa siku mbili ili kuweza kufika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.