Habari wana jamvi
Natumaini wote ni wazima wa afya njema, ningependa kutafuta msaada kwa mtu mwenye kufahamu zaidi juu ya upimaji wa viwanja maana huku matosa tunakilio chetu miaka mingi sana na hakuna mwenye jibu juu ya ela zetu tulizokwisha changa kwaajili ya kupimiwa viwanja lakini...
Habari wana jamvi, leo nimejikuta nashindwa kuchangia mada iliyokuwa inaendelea wakati nipo kwenye gari mbovu zinazotoka Matosa hadi Kimara terminal mada kubwa ilikuwa ni Mbunge wetu Mh Mnyika anafanya nn kama wananchi wake wanapata shida kiasi hiki maana magari yanayoenda huko ni mabovu na ni...
MAONI YANGU JUU YA WAGOMBEA WA URAISI KUPITIA CCM
Katika hatua tuliofikia kama Taifa inatupasa tuweke kando uvyama ili tupate kiongozi ambaye anaweza kuja kufanya malekebisho tunayoyatarajia, tumefikia hatua ambayo tunaitaji mtu ambaye atakuwa tayari kuwamwagia viroboto mafuta ya taa na kuwasha...
Salamu wa ndugu, leo ningependa kusema kitu ambacho watu wengi wanaweza kusema nimetumwa lakini ra hasha haya ninayoongea ni kutokana na ukweli wa maeneo ya kanda ya kaskazini, watu wengi mwaka huu wamepata mwamko mkubwa wa kisiasa na agenda kuu mwaka huu wengi wanazungumzia kuhusu mgombea wa...
Ndugu wana jamii kwa ishu ya mishahara sio mikubwa kama mlivyoelewa, hiyo iliyotolewa ni pajeti ya mwaka kwahiyo gawanya kwa kumi na mbili ndio utapata mshahara kwa mwezi
Katika hali isiyo ya kawaida CHADEMA imeshindwa kufuatilia wenyeviti wake wa maeneo ambayo yalikuwa chini ya CHADEMA mfano Mtaa wa Gezaulole ambao ni mmoja wa mitaa ya jimboni kwa Mbowe.
Mwenyekiti wa mtaa huu ni mwenyekiti aliyeonesha udhaifu mkubwa wa kiutendaji kwa kushindwa hata kusimamia...
This is a speech made by Israel Prime Minister benjamin Netanyahu to his cabinet about 2 days ago. It was reprinted by Affan Sosibo for the African National Congress Youth League on the 8th July 2014.
I quote? ? We are not obliged even the least to try to prove to anybody and to the blacks and...
Habari za muda huu washika dau, ninashida na dawa petnesol,ear,eye,drop ambayo nimejaribu kuitafuta bila mafanikio, yeyote anayejua wapi naweza kuipata naomba msaada.
Jamani naombeni mnisaidie maana nina mwezi wa tatu sasa nafuatilia translation ya cheti change tcu bila mafanikio na bila taarifa inayoeleweka, naombeni mwongozo ni wapi naweza kusaidia badala ya tcu, au ni nani au wizara gani ambayo inaweza kunipa mwongozo, namna hii wanakatisha sana tamaa !!!
Pole ndugu, mm nilishapata kitu kama iko nilipo hama toka kuja moshi, dawa ni kunywa maji ya moto na vaa koti muda wote hiyo mara nyingi huwa ni baridi ambayo imeingia kwenye mifupa, ni mbaya ukizidi kujiachia waziwazi mwili wako, vaa koti ata ukiwa umelaa!
Sent from my BlackBerry 9790 using...
Nasikitika sana hapa ninapo andika hiki ninachokiandika, kuna baadhi ya wanafunzi wa chuo cha udom tangu wafungue chuo hadi leo zikiwa zimebakia siku chache wamalize semester bado hawajawekiwa mkopo hata mara moja, kutokana na hilo nikasema ngoja nikaongee na loan officer wa hapo chuoni kwao na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.