Habari MMU.
Jumanne jioni tulipata mgeni nyumbani kwetu (Housegirl). J5 asubihi nkamuacha wife na hsg home nkaenda kazini. Kabla ya kumleta yeye ndiyo alikuwa anamtaka na kusistiza ni muhimu atusaidie shughuli za hapa Home anachoka sana. Alionyeshwa picha tuliyotumiwa kwa email na kumhoji...
Embu niambieni bandugu mnapendelea mwanamke wa aina gani kati ya hawa unapotongoza?
1) Yule ambaye anakukatalia na kujibu kashfa na matusi huku akifoka unapomtongoza?
2) Msumbufu na umempata baada ya kumfuatilia kwa muda mrefu bila kukata tamaa?
3) Kigeugeu mara ndio au nimebadili mawazo au...
Mwenzenu Nimeoa nina Mke ila hatujabahatika kupata mtoto hata mmoja. Ndoa yetu ilikuwa nzuri sana hadi niliporudi Jana jioni. Kawaida Ijumaa nawahi kurudi.
Nimefika nikamkuta wife kaandaa Menu kama kawaida, Nkaoga kwanza na kuamua nifaidi haki yangu kwanza alafu ndo nipige msosi niangalie TV...
Habari zenu JF. Mi member wa longTime lakini huwa sipost mara kwa mara.
Demu wangu anataka kunipanda kichwani. Kuna kazi aliiona aka apply sasa kaitwa kwenye interview na huenda akaanza October tarehe 1. Kazi yenyewe nimeiweka link hapo chini. Embu nishaurini ndugu zangu si kazi mbaya nimuache...
Jamani nikiwa UK nataka kujua Card gani ya kupiga Bongo nzuri kuliko zote? Ipi inakupa minutes nyingi na haiibi kwa sana. Talk home used to be good ila sasa wameniboa. Nipeni mawazo yenu mlioko UK.
Maximo ajiuzulu kufundisha Stars
2008-04-01 09:27:45
By Mwandishi Wetu
Kocha Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Mbrazil Marcio Maximo amejiuzulu kufundisha timu hiyo.
Watu walio karibu na Maximo waliitonya Nipashe jana kuwa kocha huyo amefikia uamuzi huo...
A strange real estate deal, indeed
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
A NEWLY constructed residential block built in Dar es Salaam by the Tanzania Building Agency (TBA), with six apartments and a current leasing market price estimated at $2,000 (approx. 2.3m/-) per month minimum, has...
New skyscraper project in offing for Dar es Salaam, but: Red Cross opts for cloud of secrecy
-Identity of investor-partner to remain confidential
DAMAS MWITA
Dar es Salaam
THE Tanzania Red Cross Society has opted to remain silent as to the identity of the private investor with whom it has...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.