Hi ! mama hujambo? long time heeh
MJ1 makungwi na masomo , zamani siyo sasa.
La msingi hapo afanye masturbation.It is vey health, it helps a man/woman 2 relax.Asikutishe mtu kuwa ina madhara,unatakiwa tu kuwa imaginative . Inasaidia sana hasa kwenye zama hizi za HIV/AIDS. Madiba alitumia sana...
Hapana Ndugu
Huu mchezo ni kama ule uliofanyika kwa Mike Tyson.
Unajua mtu kama Woods amekuwa akishinda michezo yake mingi.
HILI NI TATIZO KWENYE INDUSTRY YA KAMALI, wadau wanao-regulate huo mchezo i.e "MAFIA" lazima WA-INTERVINE kuhakikisha MCHEZO UNABALANCE.Lazima kuwepo na kushinda pamoja...
Wakulu
Unapokuwa kiongozi wa nchi unapokea "briefs" za nini kimetokea au kinatarajiwa kutokea
Hili tatizo la umeme lilijulikana muda mrefu,idara husika hutoa hali ya nchi kila siku kwa kiongozi mkuu na kujadili yote yaliyotokea kwa siku husika na nini kinatarajiwa kutokea based on...
Asikimbilie KUZAA NA MCHUMBA.
Kama anataka kuzaa sasa na aoe sasa.
Kama atamwoa huyo sasa au mwingine it does not matter.
KUZAA NA MCHUMBA SI BUSARA,ATAZAA NA WANGAPI?
Wacha wewe Mkuluuuu
Hi
Longtime.
Huyo mshikaji alikuwa na Mtu kabla ya hilo tukio alilohadithi Superman,ndiyo maana alikuwa Muungwana.
Most of the time MTU AKIWA MUUNGANA SANA KWA VITENDO VYA HOVYO VYA MKEWE LAZIMA ATAKUWA NA MTU.HIYO NI FORMULA.
Yule ANAYEPIGA KELELE, OH MYWIFE WANGU...
Mkulu
Hayo siyo maneno ya mtu aliyeshiba miaka na kukutana na mitihani mbalimbali katika maisha.
Sema, MUNGU APISHE MBALI.
Ndugu yangu MAISHA NI KITU CHA AJABU SANA.KUNA MASWALI MENGI SANA KATIKA MAISHA YASIYO NA MAJAWABU.
Btw, how ur you Mkulu Longtime heh.
Hi Mama
Longtime
Kuna mambo matatu hapa:
1.Ugonjwa:Tunachukuana bila kujua background za kiafya za yule unapiganae mechi.
2.Overexcitement:
3.Tego
Lakini jingine la msingi ni kwamba WANANDOA WAACHE KUELEZA MATATIZO YAO YA CHUMBANI.Inawezekana hayo mahusiano yalianza baada ya MAMA...
Now you are talking.
Hakuna kitu kinachoitwa Professionalism hapa kwetu.
Magaino wengi wamefariki kwa ugonjwa wa UKIMWI BAADA YA KUTENGENEZA GARI NA KUAMUA KULIFANYIA TEST.
Kuna case ambayo my wife wa mdogo wangu alitekenywa na Gaino na hakufurahishwa na kile kitendo akakiripoti kwa Mganga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.