Habari wana JF,
Mimi nina tatizo kila nikiamua nisome chuo basi ikikarbia mitihani napatwa na hali ya anxiety au kichwa kujam.
Hii hali imepelekea mimi kupostpone au kuacha chuo mara tatu. Sasa nnaona kabisa Nahtaji elimu ili inikomboe na umaskini.
Nifanye nini kupambana na hii hali...
Maghufuli alipoingia alitoa onyo kuhusu mgao wa umeme na ukaisha kabisa. Alipoingia tu mama mgao ukarudi. Kumbe mgao wa umeme ni maksudi. Ni hujuma Kwa wananchi. Kwann watu hawaoji kuwa Kwa maghufuli Mbona mgao haukwepo
Huyu kala pesa zangu nyingi lakini hataki kutoa mzigo. Alinipa mara Moja tu Tena baada ya kulazimisha. Najitahid niachane nae lakini nafsi inagoma. Kibaya zaidi tumepanga ghorofa Moja. Akiniona anabaki uchiuchi
Nina shida ya kiakili natumia dawa zinatwa resperidone.
Changamoto niliyonayo ni kuwa hata nifanye Nini nkipata kipato haichukui wiki laki Tano imeisha. Hata niweke mikakati ghani nitajikuta tu baada ya wiki nipo kwenye stress Sina pesa.
Nmefikia hatua Sasa hii hali imenichosha naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.