Salaam!
Kwa muda Mrefu nimekuwa nikipata msukumo unaonitaka kuzungumzia maneno yaliyosambaa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari hivi karibuni kutoka kwa ndugu ma makundi mbali mbali.
Kimsingi sintajibu wanayotaka kwa sababu nimeendelea kupokea jumbe za Matusi na kejeli hata kuvamiwa na...
Naapa kwa jina la Marehemu babu yangu hakuna Harrier ya 3,000USD.. Pengine binaadamu wenye uzoefu na pikipiki hudhani kuwa hata magari is the same price.
Samahanini kwa kuapa. Be serious jamani.
Salaam
Unahitajika mtaji wa HARAKA kwa lengo la kufanyia tender ya dharura (Supply) kwenye taasisi fulani.
Mkopo unaotakiwa ni kiasi cha Tzshs. 3,000,000/= ambapo malipo yake yatafanyika ndani ya siku 45 yakiwa na riba ya 10,000/= kwa siku.
Aliye tayari ani PM kwa makubaliano ya awali kabla...
Salaam,
Hizo bidhaa kwa ujumla wake na kwa bei rahisi utapata China kwenye miji ya Hong kong au Guangzhou.
Unaweza kwenda mwenyewe (Ikiwa una pesa nyingine ya flight na Hotel accommodation) na hiyo 10mil ukafanya ya kununua bidhaa. Hata hivyo nasita kukuhakikishia kuwa faida utakayokuja kuipata...
Biashara ya madini ni biashara huria. Unaweza kupata mteja mzuri ukauza pesa nzuri, na unaweza kumpata dalali ukaangukia pua.
Hata hivyo quality na size ndivyo vinavyo toa bei. Ukikutana na mtu kwenye mitandao akakupa bei huyo unapaswa umuangalie mara mbili.
Kwa serious business call 0684622200
Salaam,
Anahitajika mtu mwenye uwezo tajwa hapo juu, awe na uwezo mzuri sana kwenye masuala mengine muhimu ya IT. Ni kazi ya mkataba kwa siku chache.
Contact Person: 0684622200
Gharama hizi na muda uliopotezwa vinaharibu reputation ya Serikali. Sina hakika kama wameona hayo.
Mwaka 2012 niliandika humu.
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=350965
Nakumbuka usemi kuwa Mungu anapotaka kumfundisha mtu kutokana na makosa yake mwenyewe, humtia upofu hata pale anapokosea ajione bado yuko sahihi.
Sioni sababu ya msingi kwa CCM kuendelea kung'ang'ania msimamo uliokataliwa na wananchi wengi. Ubabe wa aina hii ndio utakaiingiza Taifa kwenye machafuko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.