Mmea wa mzugwa una flush kila kitu out. Baada ya hilo tendo, tumia mzungwa majani yake andaa kama juisi, kunywa glasi 1 kwa siku 3. Lugha ya kisayansi unaitwa Plectranthus barbatus
Kuna sehemu nilisoma kuwa;
1. Unasaga majani makavu ya mkomamanga (pomegranate) ili kupata unga. Unakuwa unatumia vijiko 2 kwenye glasi 1 ya maji, kutwa mara 2 kwa muda wa mwezi mmoja bila kukosa au kuruka muda.
2. Saga majani ya tangawizi, changanya na udongo mwekundu (Red clay) kwa uwiano wa...
Tumia mziwaziwa (Asthma plant) kwa kuchemsha majani yake. Tumia kunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni for 3 consecutive days....kisha leta mrejesho hapa.
Kama una tatizo la Asthma, dawa mujarabu ya tatizo hilo ni mmea huitwao mziwaziwa. Uki-Google (Asthma plant) utaona picha yake. Chemsha majani yale na kunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni kwa siku 3-5 hilo tatizo litakuwa limeisha.
Yaani hapo ndipo utajua "HUJUI"...Yaani Mwalimu wa darasa la the so called "SHULE YA UONGOZI" anaenda kukalishwa darasani kufundishwa juu ya uongozi na wale aliokuwa akiwapa darasa yeye mwenyewe....mbavu zangu mie...Lol "Shule ya Uongozi" my Foot🤣😂
😇
Soon, mtasikia kapata UKURUGENZI WA HALMASHAURI. Hapo kaongea sina hakika kama kaongeza chumvi, uzuri aliyekuwa anachanwa LIVE alikuwemo inisaidi ze rumu...🤣😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.