Jamani nilikua naomba kama kuna mtu anafahamu au amepata Join instruction ya hiki chuo na cost zingine anisaidie. coz ukichek kwenye website yao hakuna vitu hivyo. asanteni
aisee, kwanza sio MUM pekeyake haipo TCU vpo vio vngne ambavyo havpo TCU, na pia MUM ni chuo cha kidini kuna masomo ya kawaida na kidini pia. asa ukisema wapitie TCU inamana watapelekewa wanafunzi ambao ni tofauti na vigezo ambavyo wameviweka, that's why wakataka kwa atakayetaka achukue form...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.