Search results

  1. S

    DAR: Rais Magufuli amuapisha Bi. Anna Mghwira kuwa RC Kilimanjaro. Akabidhiwa Ilani ya CCM...

    Statement ya mwisho ya JPM sijaielewa kabisa. Kuwa wapo wanachadema wanamwomba awateue lakini hawateui ili upinzani usife. Kumbe mama Mgwila sio mpinzani? Ha ha ha ila chadema na nyie njaa hadi kuomba uteuzi
  2. S

    Pengo la Prof. Muhongo laanza kuonekana. Mgao wa umeme umeanza kurudi kwa kasi

    Sasa ni dhahiri bila shaka. Baada ya Prof. Muhongo kuondolewa kwenye nafasi yake ya Uwaziri wa nishati na madini. Mgao wa umeme umeanza kurudi taratibu. Huku kwetu tangu jmosi tunapata adha ya kukatika umeme kila Siku jambo ambalo tulikuwa tumelisahau kwa muda mrefu. JPM tunakuomba...
  3. S

    Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Manyoni azuia rotation ya wauguzi wa hospitali ya Manyoni

    Manyoni kwa majungu? Endeleeni hivyhivyo mtabaki hapo hapo nilitegemea ungemsifu kwa ufuatiliaji. Kisa umekosa rotation ya night update posho imekuwa nongwa? Manyoni kwa majungu mmezidiiii kila sehemu
  4. S

    Watu wanamjaribu Rais Magufuli kupitia Makonda

    Nimependa umejibu kiungwana kabisa
  5. S

    Dawa za Kulevya: Nape aasa "Tusiwahukumu watu kwa Tuhuma, kubomoa brand ya mtu/taasisi ni sekunde"

    Tayari kigingi kimewekwa KWENYE vita tusubiri PICHA litaishaje
  6. S

    Bloomberg: Kampuni za Uturuki na Ureno zashinda tenda ya ujenzi km 400 reli ya kati

    Umejibu kitaalamu kwa facts hadi nimefurahi
  7. S

    TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Nzega

    Napongeza kwa jitihata zote za MBUNGE. Nilikuwepo nzega last week kwa kweli kuna jitihada kubwa zimefanyika. Lakini nimeona jengo lla abiria pale stand ni dogo sijui kama litakidhi matakwa
  8. S

    Mtumishi wa umma ambae hukujenga au hakujijenga katika awamu zilizopita, sasa uandike maumivu

    Mtumishi WA umma KWENYE serikali hii hususani kada zisizo za majeshi hana nafasi kabisa. No fukuza, simamisha KAZI wakati KWENYE majeshi wanaambiwa yupo NAO na wameahidiwa kulkulipwa marupurupu zaidi na kwa wakati
  9. S

    Uteuzi wa ma DC na DED WA Leo

    Naomba kujulishwa huu uteuzi wa Leo wa ma DC na DED mkulu ameendelea kuteua walioshindwa uchaguzi au zamu hii katoa wataalamu? Wenye kuwafahamu walioteuliwa watujuze tafadhali
  10. S

    TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Nzega

    OK. Nawapongeza kwa hill. Ila inatakiwa jitihada zaidi ya kuongeza High school zifikie at least 6 kwa wilaya nzima pia vyuo 2. Hii itasaidia kuongeza wigo wa elimu kwa wananzega pia uchumi utakua. Tusisahau kukaribisha wawekezaji wa viwanda wengi zaidi
  11. S

    Kwanini UKAWA itashinda kesi ya umeya Kinondoni

    Labda sijui hesabu. Endapo wajumbe waliopaswa in 34 lakini CDM wakatoka wakabaki 18 was CCM hata wangebaki hao was CDM kumbe CCM wangeshinda maana walikuwa 18. Kumbe CDM walijitoa wakijua watashindwa
  12. S

    Rais Magufuli amuomba Mfalme wa Morocco amjengee Msikiti mkubwa Dar na Uwanja mkubwa Dodoma

    Anaanza lini kutujengea na anamaliza lini? Isije kuwa story tu. Lakini bora huyu maana walikuja kina Obama, Clinton, Bush hawajatusaidia chochote bora huyu kitu kitaonekana na hapo atssaidia mechi zote za mataifa zifanyikie Dom ili watz wote tuhudhurie
  13. S

    TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Nzega

    Hats Mimi nakuunga mkono hoja. Hoja za afisa habari ni mfu
  14. S

    TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Nzega

    Ni kweli hakuna isitoshe wilaya ilikuwa na mgodi hadi wazungu wamemaliza dhahabu yote hata kuomba tusaidiwe kujengewa ilishindikana
  15. S

    TUSHIRIKISHANE Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Nzega

    Link Kili imekuwa high school? Au mnataka kufunika aibu ya Nzega? Kifupi wilaya ya nzega haikuwa na high school hata moja ya serikali sasa Mhe.Bashe ameanza kuhamasija ujenzi was shule moja ya Bulunde. Ikumbukwe Mhe. Kigwangala alitudanganya kuwa hadi anamaliza kipindi chake angekuwa amesaidia...
  16. S

    Ukisoma maelezo haya ya Serikali unapata picha gani kuhusu swala hili la kuhamia Dodoma?

    Kamama makusanyo ya serikali ni tilioni 1.5 kwa mwezi serikali ikiamua kuweka kila mwezi b. 100 kwaajili ya CDA inawezekana maana baada ya mwaka mmoja na mwezi mmoja hiyo tirioni 1.3 itakuwa imekamilika. Tatizo kipindi cha nyuma serikali haikulipa kipaumbele suala LA mipango miji ndio maana...
Back
Top Bottom