Hakika ukimtoa namba 2 na 7 kwenye hiyo list, kwa Africa hawa wapiganaji wetu tunaopaswa kujivunia pia. Wanaweza wasiwe na umaarufu wa dunia ya sasa ya kibeberu, ila wapaswa na hakika ni hazina yetu. ..
1. Solomon Mahlangu
2. Patrice Lumumba
3. Kwame Nkrumah
4. Eduardo Mondlane
5. Felix...
Mtoa mada hujui siasa za kinachoendelea ktk ni wapi pa kujenga makao makuu ya Wilaya. Kiabakari pameendelea with all the socio-economic infrastructures in place. Mkono kwa fedha zake has been manipulating the Gvt and sm poor Councilors ili makao ya wilaya yajengwe Butiama. Cost Benefit Analysis...
Wengi mnaongelea miaka minane (8) ni mingi. Huyo dada amevumilia sana. Kwani uvumiliu ni kwa akina dada tu? Hiyo miaka nane na zaidi ambayo wanajipanga HAWAVUMILII kwa pamoja? Otherwise, labda km the case presented is incomplete (of course it should be). Waendelee kuvumiliana hadi muda stahiki!
http://en.m.wikipedia.org/wiki/List_of_presidential_trips_made_by_Barack_Obama
Kwani serikali haiziweki online km za huyu mkulu? Tudadavue kodi zetu zatumikaje.
Kwanini Muhongo hajifunzi uhaini wa uchumi alioufanya Mkapa kwa madini yetu kunyonywa na wa-SA? Kweli ukitaka jua rangi halisi ya mtu mpe MADARAKA au FEDHA. Anashusha hadhi ya level ya uProfessor wake.
Kwa hizi video clips mbili na majibu ya Mh. HK kuna mengi zaidi nyuma ya pazia. Japo kwa mtangazaji sikuona njia mahsusi aliyoanzisha ili Mzee Kigwangwalla apate hayo matibabu nje ya nchi. Nashindwa elewa nia ya mahojiano ilikua ni nn? I thought among other things, it is to solve the problem.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.