Nadhani kuna tatizo kwenye vyombo vyetu vya usalama kwenye ufatiliaji wa maswala ya utekaji, au havina uzoefu ama nyenzo.
The first 24hours huwa ni crucial sana kwenye upelelezi na kupata leads muhimu zinazoweza kuwanasa watuhumiwa.
Imechukuwa mda mrefu sana kumkamata mtuhumiwa wakati alikuwa...
Ndugu zangu Watanzania wote,
Napenda kuwatahadhalisha tuwe makini na propaganda za kipuuzi ambazo imekuwa ni kawaida sana kwa vyama tawala barani afrika kuwatisha wananchi au kuwachafua wagombea ambao wanaonekana tishio kwa uhai na maslahi ya vyama hivyo.
Sote tunafahamu ifikapo jumapili ya...
Zitto atawasadia kupata jimbo la kigoma Kazikazini na kigoma mjini, then atarudi bungeni na kuendelea kupiga deal zake na ccm, Zitto cant be trusted! mambo yote waliyosema CHADEMA dhidi ya zitto kuwa ni msaliti leo hii yametimia
Tunamtakia kila la kheri
Wana Chadema wote,
Naomba tumshukuru mungu kuwa Jaribio hili la kudhoofisha chama limeshindwa vibaya sana na mungu ataendelea kuwa umbua wote wenye Mawazo ovu juu ya ukombozi.
Chadema Ina sala, dua na maombi ya watanzania wengi sana.
Tunamshukuru mungu kwa kujibu maombi yetu na kuanika Mahasidi...
Ndugu yangu Candid Scope,
Hoja ya wapiga kura wale wale Ina mantiki pana sana nadhani unaelewa sample na nature ya wapiga kura wa CCM , kwanza lazima wapewe kitu kidogo, uelewa Mdogo , elimu ya kujitambua na Uraia Ndogo na wamekuwa victim wa mfumo mbovu wa utawala hivyo wamejazwa hofu...
Mzee Mwanakijiji,
Nakubaliana nawe kuwa uboreshwaji wa daftari la wapiga kura ni ISSUE iliyojitokeza sana kwenye chaguzi Ndogo toka 2010 na Hata Nyuma ya hapo BUT je tunaikataa sababu ambayo ni obvious kabisa kwa sababu tu imekuwa ikitokeza Mara kwa Mara AU tungeikataa kwa sababu ilikwisha...
Mi nadhani sababu kubwa ya CHADEMA kutofanya vizuri zaidi ni moja Kuu
1. DAFTARI LA WAPIGA KURA HALIJABORESHWA TOKA UCHAGUZI WA 2010 HIVYO WAPIGA KURA NI WALE WALE WANAOPIGA KURA KWA MAZOEA
2.Nadhani CHADEMA WAMEONGEZA WAPIGA KURA WENGI WAPYA KUTOKANA NA OPERATION A
MBAO NI VIJANA AMBAO...
Ndugu wana Jamii,
Bado sijapata Msaada wa kupata contacts za mtu yoyote mwenye proper information ya jinsi ya kupata na kununua Saw palmetto kutoka Tanzania .
Please mwenye serious information tuwasiliane haraka sana kwa namba hii 0756183070 au nimtumie SMS then I will call u back.
Tunatoa very...
Ndugu wana Jamvi,
Tunahitaji supplier wa raw materials kutoka Tanzania ambayo ni Saw Palmetto
please if you have any information kuhusu supplier wa saw palmetto kutoka Tanzania tuwasiliane kwenye email hii maigegeorge@me.com kwa watakaotupa proper information za supplier then tutawapatia...
Ndugu wana Jamii,
Naomba Msaada wa namba ya simu ya mkononi au ya ofisini ya Bwana Venance Mwamoto mkuu wa wilaya wa Kibondo Tafadhali. Email me at maigegeorge@me.com au ni inbox hapa JF tafadhali
Sasa wananchi Tunaweza Kuwashitaki BWM na JK kwa kuvunja katiba ya nchi ambayo waliapa kulinda na kuitetea?
They can't shred our constitution and go unpunished!
Ndugu yangu Zomba, Unahitaji maombi ya deliverance au ukapungwe hayo majini yaliyokufunga na kukupa roho isiyokuwa na chembe ya utu! kha! nyinyi ndo wanyonyaji wa damu za watanzania.!
Nape Anachanganyikiwa na milioni 270 cash na ahadi milioni 240 za Makamanda juzi pale Serena tu? mbona zipo nyingi tu Makamanda tunazikusanya! wataumia roho sana, lakini nchi hii mpaka TUIKOMBOE. Watake wasitake..
Ndugu wana Jamii wenzangu,
Imekuwa kawaida sasa kwa kiti cha Speaker kufanya hila na mbinu zote chafu kuilinda serikali kwa Hali na Mali na kiti cha speaker kuwanyima wabunge haki Yao ya kikatiba ya kusimamia na kuishauri serikali hivyo basi tumekuwa tukishuhudia Bunge likifanya kazi Kama ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.