Ni shida sana mkuu, Muislamu akiuwa muislamu mwenzake ni sawa wala hakuna tatizo, Boko haram wakiua ni sawa hakuna shida ni haki yake, lakini asiye muislamu akiua yanageuka mauaji yanakuwa ya halaiki, wanajaribu kuchepuka katika main point ila bado unakomaa nao tu mkuu
ngojea niendelee...
Labda Israel wakifanya kwa ajili ya kujilinda inakuwa ya halaiki, ila Assad wa Syria inakuwa hakuna shida, sijui huko ni kufikiria kwa namna gani mkuu? kazi kweli kweli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.