Bi Zakia Bilal
Bi Asha Bilal
Mhe Ali H Mwinyi tunajua alikuwa nao. Huyu VP naye naona ana wake wawili. Tetesi: kuwa JK naye ana wake wawili. Hivi sheria za serikali zinasema nini kuhusu kuwa gharamia hawa mabibi ?
Nadhani siko mwenyewe katika hili, nina sikitishwa sana na vichwa vya habari vyenye makosa ya kizembe kabisa kwenye magazeti yetu. Haya makosa tukiacha kuangalia habari yenyewe ndani (body), ata vichwa vya habari vina kasoro kubwa. Naomba hii thread ipelekwe panapohusika
Huu ni mfano tu...
Habari za Kitaifa
Mzindakaya ataka wabunge kuacha kunungunika
Mwandishi Wetu, Dodoma
Daily News; Sunday,April 20, 2008 @00:03
MBUNGE wa Kwela, Chrisant Mzindakaya (CCM), amewataka viongozi na wabunge nchini kuacha kunungunika kama wafanyavyo wananchi, badala ya kuchukua hatua ya kuondoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.