Sasa hapo kuna nini?? Mwambieni mpigapicha wenu siku nyingine awe anapiga picha kupitia drone ili tuone ukweli halisi. Angalia nyomi ya Tanganyika Packers TBC1 live. Lakini bado siku 13 tu tuwanyooshe!
JK alifungua kampeni huko Lindi, Magula anazunguka Kanda ya Nyanda za Juu (Mbeya, Iringa, Rukwa, Songea na Katavi), Mwinyi yuko Zanzibar, Makamu wa Rais Mstaafu leo yupo Kawe. Unataka wengine wapi sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.