Tujikumbushe ya Dr Mwakyembe alivyorudi na kusema kuwa anajua ukweli na angesema.... Wazee wakatuliza na wamempa wizara, wametupiga chenga mbili tatu kutusahaulisha... Hamna mtu aliyemtaka tena Mwakyembe aeleze ukweli wa ugonjwa wake... Hii ya Dr Ulimboka is just the same story in different...
Kwanza na hizo adverts zake zina rangi za hovyo mpaka zinaharibu macho. Atafute watu wamshauri upya kuhusu hii blog yake na jinsi ya muonekano. It is too much.
Mh kazi sasa imeanza upya, waswahili wanasema "Mali ya Dhuluma"... Lakini Chenji si lazima watakua wameingia mkataba ambao una guarantee ya Maintanance.. Na hivi ukiangalia Chenji imerudi na ishapigwa mapanga na huo ununuzi wa vitabu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.