Malofa na Wapumbavu.....upepo wa Steven Wassira ni Noma.....wataisoma namba Akina Bulaya anazunguka na ma body guard sasa Mbunge wa Watu Ulinzi wa hivyo iweje....asilimia tisini Kura kwa Wasira safari hii
Ninyi na mahusiano ya jinsia ya moja msituletee Bunda, HUKO HUKO Kawe-Dar Es Salaam...Sasa yeye Katumwa na Mume wake agombee Ubunge, ninyi wapambe Msije mkajifunza mambo ya Lamu na Mombasa, Oct akishindwa Ubunge anarudi Dar kuwaacha na tabia ZA ajabu HAPO Bunda
Kuwafukuza baada ya kupora Ushindi hakuna Tija....In short, Kwa siasa ya Bunda Ukawa haina nafasi na wote wasingemweza Wassira, ila kumtosa aliyeshinda kura ya maoni ndiyo worse sababu Yule dada CHADEMA NI mgeni
Katiba ipi wakati Chama Cha Demokrasia(CHADEMA) kimeuzwa kwa Lowassa...Hii Game imekaa vibaya, sasa wapi kwenye katiba kulikompa Mbowe kuuza Chama?Wapi Dr.Slaa mkuu?
hakuna mpambano wa msimbe wenu bunda, yaani esther ni taka hivi sasa, kila kona bunda akipita anazomewa tu tangu jana.....el-ninyo inakuja kuwabeba na dhambi ya ubaguzi chadema....esther hawezi ongea dk 2 bila zomea zomea na usimbe hautakiwi bunda
kamati kuu ya lowassa ni vichaa, huwezi kuacha mtu aliyejenga chama hapo bunda miaka mitatu alafu wakupe wewe esyth uliyekuja juzi toka ccm jimbo-ni kosa..shida ya yule(wewe) dada ni kudandia dandia tu, sasa ccm kakimbia chadema bunda ukweli umejulikana zile ligi za mpira, bulaya cup hakuna kitu...
Sasa kweli Nani mwenye Njaa..Hii picha ya Bulaya Ktk ofisi ya CHADEMA Bunda ni kama picha ya Hofu na Msiba Fulani....atakuwa anajuta "hivi huku nimekuja kufanya nini kustaili aibu Hii"
Chadema Bunda yabomoka vibaya
-Robo tatu ya viongozi wa kamati tendaji wajihudhuru nyadhifa zao
-Wasema chanzo ni Esther Bulaya kubebwa na viongozi wa juu wa chama hicho
-Wasema wamekitumikia chama hicho na kuwekwa ndani lakini sasa hawathaminiwi
Na Ahmed Makongo, Bund | Mtanzania | Agosti 20...
Chadema Bunda yabomoka vibaya
-Robo tatu ya viongozi wa kamati tendaji wajihudhuru nyadhifa zao
-Wasema chanzo ni Esther Bulaya kubebwa na viongozi wa juu wa chama hicho
-Wasema wamekitumikia chama hicho na kuwekwa ndani lakini sasa hawathaminiwi
Na Ahmed Makongo, Bunda;
Agosti 20, 2015...
Chadema Bunda yabomoka vibaya
-Robo tatu ya viongozi wa kamati tendaji wajihudhuru nyadhifa zao
-Wasema chanzo ni Esther Bulaya kubebwa na viongozi wa juu wa chama hicho
-Wasema wamekitumikia chama hicho na kuwekwa ndani lakini sasa hawathaminiwi
Agosti 21, 2015;
CHAMA cha Demokrasia...
Wassira au Lowassa ndiyo mpango Mzima Urais wa TZ.Benard Membe biashara ilikwisha siku nyingi na Mzee Pinda escrow imevuruga upepo na pengine mvuto alioanza kupata baada ya kutangaza BBC London..Ni Murra au Laiboni 2015
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.