Kwa sasa customer care ya Airtel ndio huduma mbovu kabisa kuliko huduma zote hapa nchini, kila mteja anahaki ya kuongea na mhudumu, sio kila tatizo linatatuliwa na automatic voice response. Ni ngumu mno kuongea na mtoa huduma wa airtel ..... nadhani hii kampuni inaelekea kufa kabisa. Kwa wateja...
Hapo ndipo wazungu walipo tuweza kwenye kudharau vya kwetu na kutukuza vya kwao. Kabla ya ukoloni babu zetu walitibiwa sana kwa miti shamba na wengi walipona.
Jaribu kutofautisha tiba asili ( uganga wa jadi) na upigaji ramli ( uchawi).
Bado kuna makabila mengi yanatumia tiba asili mfano...
Pole sana...tatizo la hao watoto liko kwenye damu (systemic) ngozi ina manfest tu. Ni vizuri akapata dawa za mishipa. Nashauri wapate broad spectrum antibiotics kama ceftriaxone na antifungal kama fluconazole. Topical aplication haina effect sana kwa sababu tatizo ni generalized.
Kwa nini sisi hatuwaenzi watanzania wenzetu! Kwa nini barack obama isingeitwa mkwawa? Au jina la wapigania uhuru wa kwetu. Hii ni aibu kwa anuani ya taifa ina jina la mmarekani.
Kwanza lazima tukubali kwamba hii barabara imejengwa chini ya kiwango kwa hali ya juu. Baada ya njia panda ya kawe u- turn ni africana sehemu kama makonde ambako kuna njia kubwa ya nssf hakuna pa kuingilia. Hapo jeshini ndo hatari zadi. Yaani hapo ajali haziishi kama mkandarasi hatarekebisha
Kwa mtu anayefikiria kwa utashi atashangaa kuona huyu bwana bado ni waziri katika wizara nyeti kama ya Elimu zaidi ya nusu ya watahiniwa kupata div 0 ni ishara ya failure ya wizara na serikali kwa ujumla.
Binafsi nilitegemea muda mfupi baada ya kutangaza matokeo yale ajiuzulu na kumpisha mtu...
Habari za leo wadau? Naomba wajuzi na wataalamu wa vifaa na mambo ya ujenzi mnijuze
kati ya aluminium na pvc ni ipi nzuri kwa madirisha Dar maeneo ya karibu na bahari?
asanteni
Mimi pia nimeitembelea hospitali hii mara kadhaa huwezi linganisha na hospitali kama bugando, mambo ya kcmc hayaeleweki,pamoja na serikali kuchelewesha ruzuku, lakini wao wenyewe hawaoneshi jitihada zozote za kuboresha huduma. Ni kweli wamezidiwa na wingi wa watu na hapa inabidi serikali...
Mrimi,
Watu wenye mawazo kama yako ndo wanadidimiza maendeleo ya nchi, umepewa mpaka mfano wa mgonjwa aliyeko ICU na manesi wanafanya biashara ndogondogo, kweli hapo ni mahala pake? Au hujui maana ya ICU nafikiri zile zama za kutetea uovu namambo ya kulindana zimekwisha. Tunahitaji mabadiliko...
Unakula vizuri? Na unapenda kula vyakula gani? Unapojisaidia baada ya hizo siku mbili choo inakuwaje? Kigumu au laini?
pendelea kula mboga za majani namatunda kwa wingi.
Saladi, binafsi nimekushauri uonane na mtaalamu wa magonjwa ya kina mama ili aweze kukufanyia uchunguzi na kujua tatizo lako. Na sio kila infertility problem inatibiwa kwa IVF, kwa kawaida hiyo huwa ni last option pale ambapo njia zote zimeshindikana. Hiyo ivf pia ina risk zake nyingi tu.
Sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.