je lowassa angefanya zaid ya haya! mie nafikiri nchi hii Mungu amempa Magufuli kwa ajili ya kilio cha watu wengi wanaoteseka, maguful ndiye Rais tunaemhitaji, ukawa acheni kususa maana haiwasaidii sanasana mtabaki nje bila kulisaidia Taifa hili. muungeni mkono achana na lowassa na Seif...
Sababu za kufuta uchaguzi wa Zanzibar ziko wazi tu wala huhitaji kuwa msomi sana ujue, ccm baada ya kuona inashindwa na kuiba kura haiwezekani wakamuamuru jecha afute uchaguzi.
Huo ndio ukweli tu, hata ukiangalia wanavyojibu hoja kama hizi sura zao zinawasema kabisa, kwa sasa uchaguzi...
kwani ni yeye tu anatosha kuwa spika! namkumbuka alivyo gombana na maaskofu, akapumzike nae ina maana hajatosheka tu, hii tamaa mbaya sana naomba akatwe haraka sana, ili ajue ccm ni chama kigumu hakifi...ameona yaliyomkuta ......... nanihiii...haamini mpaka sasa, huyu nae anaitisha ccm! akatwe...
Lowassa ni mtu muhimu ktk siasa kwa sasa, ila uwaziri mkuu hapana, apumzike awajenge wanasiasa vijana na kuimarisha upinzani angalau kiundwe chama kimoja chenye nguvu kubalance kati ya ccm na upinzani ili kuchochea maendeleo na uwajibikaji kwa serikali na sii vinginevyo. Lowassa hawezi...
hakuna kitu umeundua bana, tangu lini 10/2 ikawa 2 it will remain 5 mangi.... wamisry ndo wababe tu hata mzungu hakuwahi kugundua chochote wagiriki walicopy na ku-pate kutoka MISRY..:smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:
Naomba mnijuze jamani, nimeangalia ajira za waalimu tangu 2012/2013 na 2013/2014 nimeona waalimu wengi wameajiriwa vyuo vya ualimu mfano Butimba, Monduli, Vikindu nk. sijaona hata mmoja aliyeajiriwa chuo cha ualimu Patandi elimu maalum, je? hiki chuo wanaajiriwa waalimu wa aina gani? ni lazima...
Jamani naomba mnisaidie, kuajiriwa chuo cha ualimu na kuajiriwa shule za secondary ni ipi nzuri kimshahara na hata kujiendeleza kieimu?
:clap2::clap2::clap2:
Naomba msaada wa kujua kiwango cha mshahara wa mkufunzi wa chuo cha ualimu kwa mtu wa kiwango cha shahada jamani hasa waalimu wapya waliopangiwa kazi mwaka huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.