Kuna kijana sehemu ya kchwa cha uume wake una rangi kama ngozi ya mzugu ni ya siku nyingi ila
hasikii maumivu ya aina yoyote.
Je tatizo ni nini kwa mwanaume kuwa na kichwa cha uume na wengine?
Habari Dr
Kuna kijana sehemu ya kichwa cha uume wake una rangi kama ngozi ya mzugu ni ya siku nyingi ila hasikii maumivu ya aina yoyote.
Je tatizo ni nini kwa mwanaume kuwa na kichwa cha uume tofauti na wengine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.