Ningependa kufahamu kuhusu mazingira yanayohitajika kwa ajili ya ufugaji wa kuku wa nyama(machotara). Nimeuliza hivyo ili isije ikatokea kuna mazingira mengine huwa siyo mazuri kuendana na hali ya hewa, udongo wa mahali nk. Pia kuhusu ufugaji wa kuku wa nyama ingependa kufahamu gharama(matji...
Mimi ni kijana nina hamu sana ya kufanya kilimo maeneo ya Bungu - Rufiji lakini kwa kujikongoja. Nina ekari zaidi ya 10 ambazo ninaweza kuanzisha kilimo fulani kizuri. Nakuwa na wakati mgumu sana wa kuamua ni kilimo gani kinaweza kufanyika sababu ya mazingira ya shamba. Shamba lipo eneo ambalo...
jamadari usitake kuchekesha watu. Utakuwaje offline halafu uwe unaona tukibishana? Wapo wengi sana ambao walishatembelea katika huu mtandao na wameeleza matatizo yao kinagaubaga iweje washindwe kuelezea matokeo baada ya kutumia? Siyo kwamba napingana bali nataka kuangalia ukweli uko wapi wa hayo...
Umeweza kuona shuhuda za watu wangapi katika hii thread na ikizingatiwa imeanzishwa lini na watu waliokwishatumia dawa ni wangapi. Mzizimkavu mwenyewe anashindwa kujitetea hapo. Hana reference yoyote aliyoitoa yenye ushahidi unaohamasisha mtu kuwa kuna watu waliokwishatumia wakapona. Watu...
Tunataka hizo shuhuda hapa. Ni kwa nini msisitizo wa kujaribu? Mwili huwa hautakiwi kujaribiwa ati! Wote waliotumia mbona hawarudi hapa kwa ajili ya kuzisifia? Pia hao unaosema weupe kwa weusi wanazinunua mbona hawatoi hata mmoja ushuhuda? Tatizo lipo hapo tu. Binadamu wanapenda kufahamu...
Hivi kati ya wote wakosekane wenye kutoa ushuhuda wa kupona matatizo waliyokuwa nayo? Mtu atakuwa anaogopa nini wakati hakuna atakayeweza kumfahamu hapa kwenye huu mtandao wa kijamii? Hakuna shukrani kubwa itakayoweza kuzuilika kutoa hasa kwa mtu mwenye tatizo kama hili. Inatakiwa wamwagike...
Tangazo naliona siku nyingi sana na wahusika wengi sana wamepitia. Nauliza kama wapo ambao walishapona matatizo yao kwa kutumia aina hii ya suppliments. Tumechoka na matangazo mengi ya kuhusu dawa na baada ya watu kutumia unasikia wakisema hakuna kitu, hazijafanya mabadiliko kama inavyodaiwa...
Napenda kufahamu ni Hospitali zipi nzuri kwa ajili ya blood test kwa ajili ya kufahamu kuhusu HIV nk. Maeneo ya kuanzia Mwenge DSM Anayefahamu tafadhali
Hello Mwanajamii!
Natangaza kuwa kila aliye na uwezo wa kuchangamkia fursa za maendeleo afanye hivyo sasa sababu ipo fursa ya kipekee inayotoa msaada kwa wale wanapenda maendeleo. Fursa hii ni kwa ajili ya wale wanaoshindwa kuwa na biashara kubwa kutokana na kukosa mitaji na wengine kukosa...
Wengi wamekuwa ma wazo la biashara na wanafikiri biashara ni Forever Living na GNLD tu. Mimi nazungumzia biashara tofauti na hizo. wale tuliokwishaonana na wamenufaika sana. Mwenye mawazo ya GNLD na akashindwa kuchukua hatua basi hatuwezi kumfuata nyumbani na kumshika mkono. Wengi hukosa fursa...
Hello ndugu mwanajamii!
Napenda kukujulisha kuwa unaweza kufanikiwa kimaisha kwa namna nyingi. Maisha kawaida ni kama mchezo wa kamari na ndiyo maana wengi husema maisha hayana formula. Kwa asilimia kubwa watu wanazoea maisha ya mtiririko fulani tu na hiyo hutokana na maisha aliyoyakuta katika...
Muonekano: Ni nyumba ya ghorofa 5 yenye vyumba 42
Ina vifaa vyote muhimu vinavyohitajika.
Sehemu: Manzese
Bei: Billion 3 maelewano pia yapo
Unaweza kufanya mawasiliano kwa namba 0754479625
Shukrani.
Shamba kubwa linauzwa lenye sifa zifuatazo:
Ukubwa: Ekari 4
Eneo: Mapinga - Udindivu
Maji yanapatikana karibu
Kuna nyumba iliyojengwa katika shamba hilo
Bei: Millioni 65 na maelewano pia yapo
Mawasiliano: 0754479625
Shamba kubwa linauzwa lenye sifa zifuatazo:
Ukubwa: Ekari 4
Eneo: Mapinga - Udindivu
Maji yanapatikana karibu
Kuna nyumba iliyojengwa katika shamba hilo
Bei: Millioni 65 na maelewano pia yapo
Mawasiliano: 0754479625
Nyumba nzuri sana inauzwa na ina sifa zifuatazo:
Muonekano: Ni nyumba ya ghorofa 5 yenye vyumba 42
Ina vifaa vyote muhimu vinavyohitajika.
Sehemu: Manzese
Bei: Billion 3 maelewano pia yapo
Unaweza kufanya mawasiliano kwa namba 0754479625
Shukrani.
Nyumba nzuri sana inauzwa na ina sifa zifuatazo:
Muonekano: Ni nyumba ya ghorofa 5 yenye vyumba 42
Ina vifaa vyote muhimu vinavyohitajika.
Sehemu: Manzese
Bei: Billion 3 maelewano pia yapo
Unaweza kufanya mawasiliano kwa namba 0754479625
Shukrani.
Hello mwanajamii!
Bila shaka uu mzima wa afya na una nguvu nzuri ya kufanya kazi na kupata kipato.
Je, wewe uko tu nyumbani umelala na huna unalofanya?
Je, wewe uko unatafuta ajira?
Je, wewe ulishawahi kufanya biashara yoyote(sales)?
Je, wewe hujawahi kufanya biashara yoyote lakini unahisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.