Nawasalimu wanaforum wenzangu,
Kama kuna eneo la Beach kuanzia heka 2 kwenda mbele, mkoa wa Pwani, Tanga ama Zanzibar bei za kawaida kwa sisi waswahili tafadhali tuwasiliane, WhatsApp +255675308774
salam za amani wana jamii,
Nauza Scania za mwisho mwisho, kila moja mil 37 C&f, ushuru unalipa mwenyewe. Karibuni sana
Scania114/380
Year 2003
Engine Cummins
WhatsApp Nr +255675308774
Nyumba kubwa
Vyumba vya kulala 4
3 choo ndani, 1 choo nje,
Sebule , jiko na sehemu ya kulia.
Nyumba ndogo
Vyumba vya kulala 2
2 choo ndani
1 choo nje
Sebule
Bei ya kupanga milioni 1 kwa zote mbili kwenye eneo moja.
Hali zenu wanajamii,
nauza hiyo Scania kwenye picha, truck bado hipo nje nitaileta tu kama atapatikana mteja wa kuinunua, term ya malipo unalipa advance. Bei ni mpaka bandarini Dar tu, suala la ushuru ni juu yako mwenyewe.
Make: Scania
Model: 94/310
Year: 2001
KM: 587791
Price: TZS...
Scania 113/380 LHD
Year 1994
Km 820000
Bei Mil 50.000,000 bila ushuru. Ushuru unalipa mwenyewe.
Truck bado hipo nje kama tunakubaliana nakuagizia, tuna ofisi inayotambulika na Serikali.
Mawasiliano
0783250540
mfikilwa@gmx.de
Karibuni
Salaam wanajamii wenzangu
Nina mpango wa kununua truck mbili, moja ya kunyonya maji taka , Scania, Mercedes ama DAF 6x4
Ingine ya kusomba taka zile special za taka , nayo itakuwa Scania, Mercedes ama DAF 6x4
Naomba anayejua ushuru kamili anijuze tafadhali naogopa nisije yaacha bandarini
Asanteni
njia wanazotumia magaidi wa IS kuifikia ulaya, sijui kijerumani vizuri , sema nilivyosoma nimeelewa na nchi yangu inahusika, si mbaya wahusika wakawa makini, siyo kila mwenye passport ni ya kwake, sisi wengine maisha yetu yanategemea biashara, sasa Tanzania ikiwa kiungo kwa mambo hayo inakuwa...
salam kwenu, jamani ukishaona makitu kama hayo chini, nakushauri kaa chonjo.
Hello,
Sorry I answered you so late but my business is killing me.I am writing regarding the:2002 LAND ROVER RANGE ROVER 3.0 Td6 VOGUE 4dr Auto Diesel Estate Left Hand Drive Price:3100GBP.The car is in perfect...
Habari zenu, chagua Scania mojawapo katika hizo nakuletea mpaka Tanzania bei ni Tsh mil. 60 Scania 124 na Tsh mil. 55 Scania 113, ama kama unahitaji Scania 113 ndefu tuwasiliane nitakupatia, gari zangu huwa ni LHD.
habari zenu, natafuta mtu wa kushare nae container uholanzi, kuna kitu nataka nunua kitakuwa kama ton 3, ni kimoja tu, nataka kiende bongo, natafuta wa kushare nae ama mtu mwenye container iliyo bado na nafasi gharama nitachangia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.